Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASHA BARAKA ANASUBIRI RASIMU YA KATIBA ILI AFANYE UAMUZI

Asha Baraka akiongea na wanahabari wa Global Publishers Ltd (hawapo pichani).
Na Elvan Stambuli
ASHA Baraka Msiilwa ni mwanasiasa kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec). Mbali na siasa, Asha ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Aset inayomiliki Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’. Ijumaa iliyopita alitembelea ofisi za gazeti hili zilizopo Bamaga, Mwenge jijini Dar na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA: SITAMSAMEHE CHOKI

Stori: Paparazi Wetu
MKURUGENZI wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka, amesema kamwe hawezi kumsamehe mwanamuziki Ally Choki ambaye ni Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, ambaye ana bifu naye la muda mrefu. Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha Baraka akifunguka jambo katika ofisi za Global Publishers, zilizopo Bamaga Mwenge. Hivi karibuni habari zilienea kuwa...

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE ASHA BARAKA AOLEWA

Stori: Waandishi Wetu  WERAWERAAA! Baada ya kuishi kwa muda mrefu tangu alipotengana na mumewe Khamis Bwela, Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita alifunga ndoa na mfanyabiashara maarufu Dar aitwaye Idd Baka Pandisha, Ijumaa Wikienda lina mzigo kamili. Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mzazi afanye haya ili mtoto apate matokeo mazuri

Hivi karibuni Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne. Kwa mujibu ya matokeo hayo, ufaulu umeongezeka tofauti na mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Alli Chocky na Asha Baraka

Kwa wapenzi wa muziki nchini jina la Alli Chocky si geni masikioni mwa wengi. Chocky ameweza kudumu katika muziki wa dansi kwa muda mrefu akiwa katika bendi mbalimbali ikiwamo Twanga Pepeta.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAPATANISHA CHOKI, ASHA BARAKA!

Stori: Nyemo Chilongani/Ijumaa Wikienda
WAMEPATANA! Hatimaye Kampuni ya Global Publishers inayochapa gazeti hili na mengine ya Ijumaa, Uwazi, Risasi, Amani na Championi imefanikiwa kuwapatanisha wale mahasimu wawili ambao ni viongozi wa bendi mbili tofauti, Mkurugenzi wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mwenzake wa Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo Staili’, Ali...

 

10 years ago

GPL

ASHA BARAKA, RUGE WAWATOLEA UVIVU MASTAA

Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’ Asha Baraka. Stori: Musa Mateja
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba wamewatolea uvivu mastaa wanaojihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya (mateja) na kuwataka waache wenyewe. Wakizungumza katika mahojiano maalum na...

 

11 years ago

GPL

CHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA

Stori: Gladness Mallya MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki amesema yupo tayari kumaliza tofauti zake na bosi wake wa zamani anayemiliki kundi la African Stars, Asha Baraka. Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki
“Mimi niko tayari kuyamaliza na Asha Baraka, Global Publishers mlishajaribu kutukutanisha lakini sijui ilikuwaje, lakini kutokana...

 

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Asha Baraka akiwa tayari kwa mahojiano na Global TV Online ndani ya ofisi za Global Publishers. Asha Baraka akifafanua jambo kwa wanahabari wa Global (hawapo pichani).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani