HATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu. Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo; 1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015. 2. Benchi lote la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0QPKb0uheVo/VYXOhsxDyjI/AAAAAAAHh-c/B_OKXgeZuIw/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: KOCHA WA TAIFA STARS MAART NOOIJ NA BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI WATIMULIWA KAZI LEO
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.2. Benchi lote la ufundi la Taifa Stars limevunjwa kuanzia Juni 21, 2015.3. Uongozi wa...
9 years ago
Bongo505 Oct
Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers
10 years ago
Mwananchi24 May
Kocha Nooij ajiweka njiapanda TFF
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Malinzi acha kujitetea, fanya kazi yako TFF
10 years ago
Mwananchi29 Jun
TFF fanyieni kazi changamoto za Lligi Kuu Bara
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Tottenham yamfukuza kocha Boas
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Burundi yamfukuza mwanabalozi wa Rwanda
10 years ago
Mtanzania05 May
Kamati ya Bunge yamfukuza Magufuli
Patricia Kimelemeta Jonas Mushi, Dar es Salaam
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imemfukuza Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli baada ya kushindwa kutoa maelezo ya namna Serikali itakavyoweza kulipa madeni ya wakandarasi yanayofikia Sh trilioni moja.
Dk. Magufuli alikumbana na kibano hicho cha kamati hiyo ambayo inaongozwa na Mwenyekiti wake Peter Serukamba, ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliambia MTANZANIA jana kuwa wakati wa kikao...