TFF fanyieni kazi changamoto za Lligi Kuu Bara
Maandalizi kwa ajili ya msimu ujao wa ligi yanaendelea kupamba moto na timu mbalimbali zinaendelea kujiimarisha kuwa na vikosi bora ambavyo himili ushindani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7uz6yOIw_g/Vai8lViOQ2I/AAAAAAABSAg/Eq0NoShawPE/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2BLIGI.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...
10 years ago
GPLVODACOM NA TFF ZATILIANA SAINI MKATABA WA KUIDHAMINI LIGI KUU TANZANIA BARA
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
UKAWA fanyieni kazi kauli ya Kikwete
OKTOBA 8, mwaka huu wakati akipokea katiba inayopendekezwa , Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake amewapa kazi viongozi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Wananchi (UKAWA). Akiwahutubia wananchi waliofika...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara
HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s72-c/securedownload%5B1%5D.jpg)
LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA - ZUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s1600/securedownload%5B1%5D.jpg)
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s72-c/securedownload%5B1%5D.jpg)
LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA, ZUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s1600/securedownload%5B1%5D.jpg)
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...