Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers

paul-lambert_a_2654666b

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.

paul-lambert_a_2654666b

Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.

Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Lambert kocha mpya Blackburn Rovers

Paul Lambert Kocha wa zamani wa Aston Villa amekuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers badala ya Gary Bowyer.

 

10 years ago

Mwananchi

Beki wa Blackburn Rovers atua Yanga

Yanga imempokea beki mkongwe wa Afrika Kusini, Aaron Mokoena tayari kufanya majaribio ya kusaka nafasi ya kujiunga na mabingwa wapya Ligi Kuu Bara.

 

9 years ago

Bongo5

Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.

“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...

 

9 years ago

Bongo5

Patrick Vieira ateuliwa kuwa kocha mpya wa New York City

patrick-vieira_3238775b

Mchezaji na kiungo wa zamani ufaransa na timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.

patrick-vieira_3238775b

Vieira mwenye miaka 39 amesaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Marekani.

Vieira alikuwa kocha wa kikosi cha vijana wa chini ya umri wa 21 cha Manchester City. Vieira ni miongoni mwa nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa waliotwaa kombe la dunia mwaka 1998.

Vieira ataanza kazi hiyo rasmi Januari 1,...

 

9 years ago

Bongo5

Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mpya wa Valencia ataungana na ndugu yake Phil Neville

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Beki wa zamani wa kulia wa Manchester United na Uingereza Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia hadi mwisho wa msimu.

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Neville, 40, ataanza rasmi majukumu yake kamili Jumapili, na atasalia kwenye benchi la wakufunzi la Uingereza. Peter Lim, mmiliki wa Valencia anayetoka Singapore, ana hisa katika klabu ya Salford City, ambayo Neville ni mmiliki mwenza.

2EFCDFB900000578-3343348-image-a-28_1449088453935

Kaka yake Neville, Phil, aliyejiunga na klabu hiyo ya Uhispania kama meneja msaidizi Julai atasalia kwenye benchi la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Paul Ryan ateuliwa spika wa bunge Marekani

Paul Ryan ameteuliwa kuwa Spika wa Bunge la Wawakilishi nchini Marekani na sasa ndiye wa pili katika safu ya watu wanaoweza kumrithi rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dick Advocaat ateuliwa kocha Sunderland

Sunderland imemuajiri Dick Advocaat kama mkufunzi mkuu wa timu hiyo hadi mwisho wa msimu.

 

9 years ago

Bongo5

Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki

eto

Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.

eto

Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.

Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.

Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC

4644

Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.

new-york-city-fc-2015-roster

Kikosi cha New York City.

Na Rabbi Hume

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.

Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.

Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani