Dick Advocaat ateuliwa kocha Sunderland
Sunderland imemuajiri Dick Advocaat kama mkufunzi mkuu wa timu hiyo hadi mwisho wa msimu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 May
Advocaat kubwaga manyanga,Sunderland
9 years ago
Bongo512 Oct
Sam Allardyce awa kocha mpya wa Sunderland
9 years ago
Bongo517 Dec
Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki
![eto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eto-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.
Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.
Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.
Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Song ateuliwa kocha wa timu ya taifa Chad
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC
Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.
Kikosi cha New York City.
Na Rabbi Hume
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.
Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.
Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...
9 years ago
Bongo517 Nov
Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers
![paul-lambert_a_2654666b](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/paul-lambert_a_2654666b-300x194.jpg)
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.
Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.
Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia
Gary Neville.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.
Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...
9 years ago
Bongo521 Dec
Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea
![151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit-300x194.jpg)
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.
Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...
9 years ago
Bongo511 Nov
Abdallah ‘King’ Kibadeni ateuliwa kuwa kocha wa Kilimanjaro Stars
![Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/pic-kili-stars-300x194.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ atasaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi hizo zinazoshiriki michuano hiyo...