‘Wanawake wasomao sayansi wazuri, hawazeeki’
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rzuR9uKlA-c/U4Sfp3yu2WI/AAAAAAAAITE/JHjkOz6c9zA/s72-c/o-TEEN-GIRL-SCIENCE-facebook.jpg)
WANAWAKE WASOMI WA SAYANSI WANAISHI KWA RAHA NA HAWAZEEKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-rzuR9uKlA-c/U4Sfp3yu2WI/AAAAAAAAITE/JHjkOz6c9zA/s640/o-TEEN-GIRL-SCIENCE-facebook.jpg)
Akiwa ndani ya mavazi ya kawaida, mweupe kwa rangi ya mwili huku kichwa chake kikiwa kimesheheni nywele nyeusi za asili zisizo na hata chembe ya kemikali, Loppa alikuwa na mengi ya kuwaeleza watu.Masomo ya sayansi hayazeeshi si mnaniona mimi hapa? Napendeza, sipendezi? alihoji mhadhiri huyo mbele ya umati uliofika kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s72-c/unnamed+(75).jpg)
WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F9XK9NsGpPU/U0JbhaNoerI/AAAAAAAFZJA/Jvsr55XoHWU/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Wenger: Hatuogopi kununua wachezaji wazuri
Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa kilabu hiyo haiogopi kutumia fedha katika soko la uhamisho
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYoATzaKP4w/XmTfbXnCrsI/AAAAAAALh7E/sb9bdzhGJyIi7zUQ_WF7wIZGDeXbhWOcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mabingwa Standard Chartered TZ waahidi kuwa mabalozi wazuri
Wachezaji wa timu ya Dar es Salaam Corridor Group (DCG) ya Tanzania wameahidi kuwa mabalozi wazuri wa soka baada ya mafunzo waliyopata kutoka kwa makocha wa Liverpool.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni Salim Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni Salim Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...
10 years ago
GPL25 May
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Atsede Nguse: Manusura wa shambulio la tindikali asema 'Kuna watu wengi wazuri duniani kuliko wabaya'
Mume wa Atsede Nguse alimshambulia kwa tindikali na kumharibu sura nchini Ethiopia, lakini wasamaria wema wamemsaidia kupona.
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania