CCM INA MISINGI MIZURI YA KUPATA WAGOMBEA WAZURI - JK
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Profesa Lipumba: CCM ina wagombea wawili wa urais
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kina wagombea wawili wanaowania kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi27 May
CCM inavyojikwaa kupata wagombea
>Uongozi ni dhamana, ni jukumu zito, mtu hupewa uongozi na watu. Uongozi hautafutwi kwa udi na uvumba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcK7rygp1b1H1KRTXiv4NMRYd4XY0uuHVctcuAKyFpyRMA7KsfyI*c2*ZVCNpJbi2736XP3lIReDRU5FSM-j--KS/nec.png)
KIKAO CHA MCHUJO WA WAGOMBEA 5 WA CCM KUPATA 3 CHAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI
KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichopangwa kufanyika leo kwa ajili ya kuwachuja wagombea urais watano kupata watatu kimeahirishwa hadi kesho saa 4 asubuhi mkoani Dodoma. Taarifa hii imetolewa na CCM.
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-ajWlQPI8wtU/VLNPq92YKeI/AAAAAAAAVaQ/leYpib_tnHQ/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqXVdiF*zwz1vyzStXZ0oMjl*4cTpaZ2mPoQgWfBoB3puNuM-LiifVmRsLb0jTu11I0yz85JpyIP7nCWHosnJS8/pasua.jpg?width=650)
UMUHIMU WA KUPATA KATIBA MPYA ILIYOPO INA MIANYA YA RUSHWA
NIMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, hakika yeye ni mwema.
Baada ya kusema hayo niseme kwamba leo nitazungumzia umuhimu wa kuwa na katiba mpya na kuachana na hii tuliyonayo ya mwaka 1977 ambayo hakika ina upungufu mwingi na hasa kuhusiana na deni la taifa. Hivi sasa deni la taifa limefikia shilingi trilioni 30.6, na ukisoma Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 utagundua kuwa imechangia kwa kiasi fulani kwa kutolipa Bunge la...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
CCM, Ukawa vifuate misingi ya usuluhishi
Tamko lililotolewa jana na CCM mjini Dodoma kwamba imemwagiza katibu mkuu wake, Abdulrahman Kinana kuendelea na jitihada za kupata mwafaka na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), limeibua mashaka kama kweli vyama hivyo vitapata mwafaka bila kufuata kanuni na misingi ya usuluhishi wa migogoro.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
CCM kuboresha misingi ya Ujamaa na kujitegemea
>Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kitaendelea kuboresha misingi ya Ujamaa na Kujitegemea ikiwa ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta maendeleo na usawa nchini.
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Katibu CCM Ikungi awajia juu viongozi wa Upinzani, awataka kuzingatia misingi ya utawala
![DSC04869](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC04869.jpg)
![DSC04849](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC04849.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Mar
‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’
>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania