Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM kuboresha misingi ya Ujamaa na kujitegemea

>Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kitaendelea kuboresha misingi ya Ujamaa na Kujitegemea ikiwa ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta maendeleo na usawa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Eti CCM kuboresha ujamaa na kujitegemea!

USIFIKICHE macho yako kudhani unayosoma si sahihi. Huna sababu ya kutilia shaka kichwa cha makala haya kwani ni maelezo ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Phillip Mangula kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa vifuate misingi ya usuluhishi

Tamko lililotolewa jana na CCM mjini Dodoma kwamba imemwagiza katibu mkuu wake, Abdulrahman Kinana kuendelea na jitihada za kupata mwafaka na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), limeibua mashaka kama kweli vyama hivyo vitapata mwafaka bila kufuata kanuni na misingi ya usuluhishi wa migogoro.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu CCM Ikungi awajia juu viongozi wa Upinzani, awataka kuzingatia misingi ya utawala

DSC04879

.Katibu CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya tuhuma mbalimbali wanazowatuhumu wabunge wa wawili wa CHADEMA mkoani hapo. Moja ya tuhuma ni ile ya kutukana viongozi wa CCM taifa, mkuu wa wilaya na CCM yenyewe. DSC04869 Mkuu mpya wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida ,Gishuli Charles, ameahidi kuzifanyika kazi tuhuma zilizotolewa na CCM dhidi ya wabunge Tundu Lissu na Christowaja Mtinda wote wa CHADEMA. DSC04849 Baadhi ya...

 

9 years ago

IPPmedia

To revive 'some' principles of Ujamaa


IPPmedia
To revive 'some' principles of Ujamaa
IPPmedia
Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) presidential candidate Anna Mghwira stresses a point during an exclusive interview with The Guardian in Dar es Salaam yesterday. Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) ...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Nani Anasema Ujamaa Ulishindikana?

Na Daniel Mbega KAMA kuna kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikiabudu – mbali ya Mungu kupitia katika imani yake ya Kikatoliki – ni Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyozaliwa ndani ya Azimio la Arusha, ambayo aliendelea kuihubiri na kuitetea kwa nguvu zake zote hadi kikomo cha uhai wake. Kila alikokwenda daima alitembea na Biblia pamoja na Azimio la Arusha, akiamini kwamba misingi ambayo TANU iliiweka kwenye azimio hilo Februari 5, 1967 pale Arusha ilikuwa mizuri na ingeendelea kuwa mizuri ikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: A peek at an early 1960s Ujamaa village in Ruvuma

>There was a young Tanzanian speaking articulately and attracting the attention at the Owl Bookshop, London.  Soft spoken and well dressed, the young student wore a light grey coat with immaculate trousers.  When Mwalimu Nyerere retired in 1985, the gentleman would have been a toddler. A baby.

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEENI VIJANA UWEZO WA KUJITEGEMEA-MASAJU

Wanafunzi wakiwa katika pozi na vyeti pamoja na vikombe walivyo zawadiwa.
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamWALIMU na viongozi wa shule mbalimbali nchini wamekumbushwa kutoa elimu itakayowajengea uwezo wanafunzi kujitegemea mbali na elimu ya nadharia na vitendo darasani pekee.
Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa serikali, Bw. George Masaju alipokuwa akiongea wakati wa mahafali ya 8 na maadhimisho ya miaka 10 ya shule ya Patrick Mission High School jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Bw....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani