Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJENGEENI VIJANA UWEZO WA KUJITEGEMEA-MASAJU

Wanafunzi wakiwa katika pozi na vyeti pamoja na vikombe walivyo zawadiwa.
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamWALIMU na viongozi wa shule mbalimbali nchini wamekumbushwa kutoa elimu itakayowajengea uwezo wanafunzi kujitegemea mbali na elimu ya nadharia na vitendo darasani pekee.
Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa serikali, Bw. George Masaju alipokuwa akiongea wakati wa mahafali ya 8 na maadhimisho ya miaka 10 ya shule ya Patrick Mission High School jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Bw....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe

Mmoja wa Kijana Wasio na Ajira Tanzania akisoma Quran wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Siku mbili ya kuwajengea Uwezo Vijana wa Jumuiya ya Watanzania Wasuio na Ajira Tanzania (TUEPO) yanayofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Zanzibar. Katibu wa Jumuiya ya TUEPO Muzna Ibarahim akitowa maelezo ya mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Mhe Hamad Masauni kuyafungua mafunzo hayo ya siku mbili yanayowajumuisha Vijana wasio na Ajira kuwajengea Uwezo wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE

Mmoja wa Kijana Wasio na Ajira Tanzania akisoma Quran wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Siku mbili ya kuwajengea Uwezo Vijana wa Jumuiya ya Watanzania Wasuio na Ajira Tanzania (TUEPO) yanayofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Zanzibar.Katibu wa Jumuiya ya TUEPO Muzna Ibarahim akitowa maelezo ya mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Mhe Hamad Masauni kuyafungua mafunzo hayo ya siku mbili yanayowajumuisha Vijana wasio na Ajira kuwajengea Uwezo wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa kuwajengea uwezo vijana wazinduliwa

Dk Fenela Mukangara.WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amezindua mradi wa kuwajengea uwezo vijana katika ujasiriamali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Vijana hawana uwezo wa ''kuiepuka', WHO yaonya

Ujana haukufanyi uwe na kinga dhidi ya coronavirus, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa limeonya huku idadi ya vifo vya virusi hivyo ikifikia zaidi ya 11,000.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda: Vijana wanasayansi tumieni uwezo wenu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka vijana wanasayansi Tanzania na barani Afrika, kuhakikisha uwezo wao kitaaluma utumike kusaidia kuongeza thamani rasilimali zilizopo ardhini ili bidhaa zizalishwazo ziwe na thamani, badala ya kuuza malighafi.

 

11 years ago

GPL

WARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Baba Watoto Center kilichopo Mburahati kwa Jongo, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Bw. Mgunga Mwamnyenyelwa  akizungumzia juu ya kituo hicho kinavyofanya kazi na sababu za kuwakusanya watoto hao katika kituo hicho ikiwa ni pamoja na kuwajengea uelewa zaidi na kuwafundisha vitu mbalimbali kama Ngoma, Sarakasi, Ushonaji ili baadae waweze kuja kujitegemea wenyewe.… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamasha la Msafara lafana Ifakara, vijana wengi wajengewa uwezo wa kutimiza ndoto zao

 Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika.

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa miwani) akiwa katika ushiriki wa kufanya usafi kaika uwanja wa Taifa wa Ifakara

 Mwenyekiti wa Maandalizi wa Msafara kutoka TYDC James Isdore akielezea maana ya msafara kwa wakazi wa Ifakara

  Baadhi ya wakazi wa Ifakara wakiendelea kusikiliza kinacho endelea 

Mbunge wa Kilombero...

 

11 years ago

Dewji Blog

“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete

DSC_0002

MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’  kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani