WAJENGEENI VIJANA UWEZO WA KUJITEGEMEA-MASAJU
Wanafunzi wakiwa katika pozi na vyeti pamoja na vikombe walivyo zawadiwa.
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamWALIMU na viongozi wa shule mbalimbali nchini wamekumbushwa kutoa elimu itakayowajengea uwezo wanafunzi kujitegemea mbali na elimu ya nadharia na vitendo darasani pekee.
Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa serikali, Bw. George Masaju alipokuwa akiongea wakati wa mahafali ya 8 na maadhimisho ya miaka 10 ya shule ya Patrick Mission High School jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe
9 years ago
VijimamboMHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE
10 years ago
Habarileo22 Feb
Mradi wa kuwajengea uwezo vijana wazinduliwa
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amezindua mradi wa kuwajengea uwezo vijana katika ujasiriamali.
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Vijana hawana uwezo wa ''kuiepuka', WHO yaonya
10 years ago
Habarileo17 Aug
Pinda: Vijana wanasayansi tumieni uwezo wenu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka vijana wanasayansi Tanzania na barani Afrika, kuhakikisha uwezo wao kitaaluma utumike kusaidia kuongeza thamani rasilimali zilizopo ardhini ili bidhaa zizalishwazo ziwe na thamani, badala ya kuuza malighafi.
11 years ago
GPLWARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tamasha la Msafara lafana Ifakara, vijana wengi wajengewa uwezo wa kutimiza ndoto zao
Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa miwani) akiwa katika ushiriki wa kufanya usafi kaika uwanja wa Taifa wa Ifakara
Mwenyekiti wa Maandalizi wa Msafara kutoka TYDC James Isdore akielezea maana ya msafara kwa wakazi wa Ifakara
Baadhi ya wakazi wa Ifakara wakiendelea kusikiliza kinacho endelea
Mbunge wa Kilombero...
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete
MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’ kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...