Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eti CCM kuboresha ujamaa na kujitegemea!

USIFIKICHE macho yako kudhani unayosoma si sahihi. Huna sababu ya kutilia shaka kichwa cha makala haya kwani ni maelezo ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Phillip Mangula kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CCM kuboresha misingi ya Ujamaa na kujitegemea

>Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kitaendelea kuboresha misingi ya Ujamaa na Kujitegemea ikiwa ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta maendeleo na usawa nchini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

9 years ago

IPPmedia

To revive 'some' principles of Ujamaa


IPPmedia
To revive 'some' principles of Ujamaa
IPPmedia
Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) presidential candidate Anna Mghwira stresses a point during an exclusive interview with The Guardian in Dar es Salaam yesterday. Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) ...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Nani Anasema Ujamaa Ulishindikana?

Na Daniel Mbega KAMA kuna kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikiabudu – mbali ya Mungu kupitia katika imani yake ya Kikatoliki – ni Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyozaliwa ndani ya Azimio la Arusha, ambayo aliendelea kuihubiri na kuitetea kwa nguvu zake zote hadi kikomo cha uhai wake. Kila alikokwenda daima alitembea na Biblia pamoja na Azimio la Arusha, akiamini kwamba misingi ambayo TANU iliiweka kwenye azimio hilo Februari 5, 1967 pale Arusha ilikuwa mizuri na ingeendelea kuwa mizuri ikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: A peek at an early 1960s Ujamaa village in Ruvuma

>There was a young Tanzanian speaking articulately and attracting the attention at the Owl Bookshop, London.  Soft spoken and well dressed, the young student wore a light grey coat with immaculate trousers.  When Mwalimu Nyerere retired in 1985, the gentleman would have been a toddler. A baby.

 

10 years ago

Habarileo

RC ashauri waliopitia mafunzo JKT kujitegemea

Issa MachibyaMKUU wa mkoa Kigoma Issa Machibya amewataka walimu watarajiwa waliomaliza mafunzo katika kambi ya JKT Bulombora mkoani Kigoma kutumia mafunzo ya kujitegemea waliyopata wakati wa mafunzo kuanzisha miradi ya ujasiriamali ya kilimo ili kuongeza hali zao za kipato na kuimarisha uchumi wa familia zao.

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEENI VIJANA UWEZO WA KUJITEGEMEA-MASAJU

Wanafunzi wakiwa katika pozi na vyeti pamoja na vikombe walivyo zawadiwa.
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamWALIMU na viongozi wa shule mbalimbali nchini wamekumbushwa kutoa elimu itakayowajengea uwezo wanafunzi kujitegemea mbali na elimu ya nadharia na vitendo darasani pekee.
Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa serikali, Bw. George Masaju alipokuwa akiongea wakati wa mahafali ya 8 na maadhimisho ya miaka 10 ya shule ya Patrick Mission High School jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Bw....

 

10 years ago

Vijimambo

KWA WALE TULIEKULIA VIJIJI VYA UJAMAA HIZI NDIYO ZETU

Kwani hata baiskeli kwetu ilikuwa ni shida kuweza kuruhusiwa kuendesha basi tulijiliwaza kupitia humu kiroho safi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani