Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIKAO CHA MCHUJO WA WAGOMBEA 5 WA CCM KUPATA 3 CHAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI

KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichopangwa kufanyika leo kwa ajili ya kuwachuja wagombea urais watano kupata watatu kimeahirishwa hadi kesho saa 4 asubuhi mkoani Dodoma. Taarifa hii imetolewa na CCM.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKUTANO MKUU WA CCM WAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete ameahirisha kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM hadi kesho saa 4 asubuhi baada ya zoezi la wajumbe kupiga kura kumchagua mgombea mmoja wa urais kukamilika. Zoezi linaloendelea ni kuhesabu kura hizo.

 

10 years ago

Michuzi

HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..

  MAULID BARAKA KITENGE WITH CO HOST  IBRAHIM MASOUD “MAESTRO” NA OMAR KATANGA.WACHAMBUZI  OSCAR OSCAR,  MUSSA KAWAMBWA  NA SUDI  MKUMBA

WATAYARISHAJI : YUSUPH MKULE, FRANCIS MHANDO, DR PANJUAN NA  WENGINEO....


1.    MAULID KITENGE NI NANI?,

Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani