Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO MKUU WA CCM WAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete ameahirisha kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM hadi kesho saa 4 asubuhi baada ya zoezi la wajumbe kupiga kura kumchagua mgombea mmoja wa urais kukamilika. Zoezi linaloendelea ni kuhesabu kura hizo.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIKAO CHA MCHUJO WA WAGOMBEA 5 WA CCM KUPATA 3 CHAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI

KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichopangwa kufanyika leo kwa ajili ya kuwachuja wagombea urais watano kupata watatu kimeahirishwa hadi kesho saa 4 asubuhi mkoani Dodoma. Taarifa hii imetolewa na CCM.

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA CCM NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE WAAHIRISHWA

WANA CCM MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 11/10/ 2014 UMEAHIRISHWA. 
VIONGOZI KATIKA KAMATI YA HALMASHAURI KUU NI WATANO NA KATI YA HAO WATATU WAMEPITISHA NA KUKUBALI KUAHIRISHWA KWA UCHAGUZI. NA WAWILI BADO HAWAJA JIBU. 
SABABU NI NINI?
1- WENGI WA WANACHAMA SIYO HAI KWANI ADA ZA WANACHAMA HAZIJALIPWA.
2- WAPIGA KURA WENGI HAWANA KADI.
3- KILA MUOMBAJI UWANACHAMA LAZIMA KAMATI ILIOPO IPITISHE OMBI LAKE
4- HADI SASA HAIJULIKANA TUNAWANACHAMA WANGAPI NA...

 

10 years ago

Michuzi

HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..

  MAULID BARAKA KITENGE WITH CO HOST  IBRAHIM MASOUD “MAESTRO” NA OMAR KATANGA.WACHAMBUZI  OSCAR OSCAR,  MUSSA KAWAMBWA  NA SUDI  MKUMBA

WATAYARISHAJI : YUSUPH MKULE, FRANCIS MHANDO, DR PANJUAN NA  WENGINEO....


1.    MAULID KITENGE NI NANI?,

Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani