Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO MKUU WA CCM NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE WAAHIRISHWA

WANA CCM MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 11/10/ 2014 UMEAHIRISHWA. 
VIONGOZI KATIKA KAMATI YA HALMASHAURI KUU NI WATANO NA KATI YA HAO WATATU WAMEPITISHA NA KUKUBALI KUAHIRISHWA KWA UCHAGUZI. NA WAWILI BADO HAWAJA JIBU. 
SABABU NI NINI?
1- WENGI WA WANACHAMA SIYO HAI KWANI ADA ZA WANACHAMA HAZIJALIPWA.
2- WAPIGA KURA WENGI HAWANA KADI.
3- KILA MUOMBAJI UWANACHAMA LAZIMA KAMATI ILIOPO IPITISHE OMBI LAKE
4- HADI SASA HAIJULIKANA TUNAWANACHAMA WANGAPI NA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO KUTOKA TAWI LA CCM NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE

 Tangazo kutoka kwa Mwenyekiti wa tume huru ya kusimamia uchaguzi wa chama tawi la New York na vitongoji vyake Bwana Isaac Kibodya na wajumbe wenzake walikutana kupitia taratibu zote za uchaguzi Na kuafikiana kupitisha majina yafuatayo kwa uchaguzi wa Jumamosi October 11, 2014 Katika nafasi ya Mwenyekiti wagombea ni Bwana. Sefu Akida na Bwana. Maftah Hassan. Mweka hazina ni bwana. Henry Stambuli. Umoja wa vijana walioomba nafasi ni Mr. Gastol Mkapa na katibu wake ni Bi. Bahia Maundi. Katibu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Gumzo New York na vitongoji vyake ni “Ommy Dimpoz kwa Poz ” a.k.a Super Handsome Live Up Close and Personal -Feb 21

DIMPOZ NY RED

TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50 SEATED 3 -COURSE DINNER FIRST CLASS SERVICE RED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTION HIGH LEVEL SECURITY **********************************************************

 

 

10 years ago

Vijimambo

GUMZO LA JIJI LA NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE NI "OMMY DIMPOZ KWA POZ " A.K.A SUPER HANDSOME LIVE UP CLOSE AND PERSONAL -FEB 21


TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50SEATED 3 -COURSE DINNERFIRST CLASS SERVICERED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTIONHIGH LEVEL SECURITY **********************************************************

 

10 years ago

GPL

MKUTANO MKUU WA CCM WAAHIRISHWA HADI KESHO SAA 4 ASUBUHI

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete ameahirisha kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM hadi kesho saa 4 asubuhi baada ya zoezi la wajumbe kupiga kura kumchagua mgombea mmoja wa urais kukamilika. Zoezi linaloendelea ni kuhesabu kura hizo.

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA TFF WAAHIRISHWA

Mkutano Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliokuwa ufanyike Tanga ikiwamo shughuli ya uwekaji jiwe la msingi kwenye kiwanja cha TFF jijini Tanga sasa umeahirishwa kwa muda usiojulikana.
Mwishoni mwa mwezi Novemba 2015, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoa wa wa Ilala ulitoa agizo la kufungwa na kuchukuliwa fedha kutoka kwenye akaunti za Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ili kulipa fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.6, sehemu kubwa ikiwa ni malipo ya kutoka kwenye mishahara...

 

10 years ago

GPL

MKUTANO MAALUM WA HALMASHAURI KUU CCM WAAHIRISHWA

Katibu Mkuu Itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi CCM, Nape Nnauye amesema kikao cha Halmashauri Kuu CCM kimeahirishwa kwa muda na kitaendelea baadaye leo.

 

9 years ago

Vijimambo

SALAMU KUTOKA KWA WENYEKITI WA CCM TAWI LA NEW YORK NA VITOGOJI VYAKE BWANA SEIF AKIDA !!



Mwenyekiti wa tawi la CCM Bwana Seif Akida anawatakia Watanzania wote uchaguzi mwema wenye amani.Tuwakemee wachochezi wa aina yoyote ili tuweze kuvuka kwa salama na amani.Wanadiaspora tunawatakia uchaguzi mwema. Maombi na sala zetu tunazielekeza kwenu mlio nyumbani Tanzania.Ameen.

Mungu Ibariki Tanzania.Mungu Ibariki Africa.  Mwenyekiti wa tawi la CCM New York  Bwana Seif Akida, wakiwa nyumbani kwa Ny Ebra Brooklyn pamoja na Mzee Lucas wakipata kinywaji na uku wakisikilizia mambo yatakuwaje...

 

10 years ago

Michuzi

mji wa musoma na vitongoji vyake wagubikwa na simanzi kubwa.

Pichani ni sehemu mojawapo ya mitaa ya Musoma mjini ikiwa na muonekano wa watu wachache mara baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii mapema leo mchana,mji huo umegubikwa na simanzi na manjonzi makubwa kufuatia ajali mbaya ya mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso likiwe gari ndogo,na kupelekea kuondoa uhai wa watu takribani 40 na zaidi katika kijiji cha Sabasaba wilayani Butiama mkoani Mara.

 

9 years ago

Michuzi

BENDI YA FM ACADEMIA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA MKOA WA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE

Mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba Akiwa anaimba mbele ya washabiki wake waliouthuria onyesho la bendi hiyo lililofanyika ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo ndani ya jiji la ArushaWanenguaji wa bendi ya Fm Academia wakifanya mambo ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo ndani ya jiji la Arusha.Washabiki wa fm wakiwa waangalia show ya nguvu iliyokuwa inadondoshwa na bendi hiyo.Picha zote na Woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani