Wenger: Hatuogopi kununua wachezaji wazuri
Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa kilabu hiyo haiogopi kutumia fedha katika soko la uhamisho
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Kinana: Hatuogopi wananchi kukimbia CCM
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho hakitishwi wala kubabaishwa na wanachama wanaotaka kurudisha kadi za uanachama. Kauli hiyo aliitoa juzi, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Watanzania tunapenda matanuzi, hatuogopi madeni
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/R1n3iW2rhT4/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Wanawake wasomao sayansi wazuri, hawazeeki’
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYoATzaKP4w/XmTfbXnCrsI/AAAAAAALh7E/sb9bdzhGJyIi7zUQ_WF7wIZGDeXbhWOcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mabingwa Standard Chartered TZ waahidi kuwa mabalozi wazuri
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni Salim Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...
10 years ago
GPL25 May