Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tunapenda matanuzi, hatuogopi madeni

Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na masuala ya Madeni ya Taifa na Maendeleo (TCDD), kila mwaka imekuwa ikitoa taarifa kuhusu kukua kwa deni la taifa na kuihadharisha Serikali ya Tanzania kuhusu tabia yake ya kupenda kukopa kwa ajili ya matumizi yasiyo na msingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa linapaa, serikalini ni matanuzi

Jumapili iliyopita Gazeti dada la The Citizen liliandika habari ya kushtua katika ukurasa wa mbele, likielezea wasiwasi wa wataalamu na mabingwa kadhaa wa masuala ya uchumi kuwa, Tanzania inakabiliwa na janga kubwa la mzigo wa madeni iwapo Serikali haitapunguza kasi ya mikopo isiyokuwa na tija katika kuinua uchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe: Matanuzi kwanza, kilimo mwisho

BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa katika libajeti la hovyo linalojadiliwa baada ya kuletwa na Saada Mkuyati kuwa ofisi ya rahisi imepangiwa njuluku sawa na za kilimo, Kijiwe kimeamua kutoa shinikizo...

 

9 years ago

Vijimambo

Asalaam aleikum ndugu zangu, tunapenda kuwakumbusha kuungana nasi Jumamosi hii ya Agosti 22

Asalaam aleikum ndugu zangu, tunapenda kuwakumbusha kuungana nasi Jumamosi hii ya Agosti 22 kwenye kisomo cha arobaini ya mzee wetu marehemu Abass Khalfan Mang'ulo, itakayofanyika katika msikiti wa Al Baqi 148 Fort Pleasant Street, Springfield, Mass kuanzia saa 10 jioni mpaka saa tatu usiku. Ukipata taarifa hizi tafadhali waarifu na wengine. Kama ilivyo ada tunatanguliza shukran. Wabillah Toufiq.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger: Hatuogopi kununua wachezaji wazuri

Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa kilabu hiyo haiogopi kutumia fedha katika soko la uhamisho

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana: Hatuogopi wananchi kukimbia CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho hakitishwi wala kubabaishwa na wanachama wanaotaka kurudisha kadi za uanachama. Kauli hiyo aliitoa juzi, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK: Hatulipi madeni ya ushirika

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali yake haitalipa madeni ambayo baadhi ya vyama vya ushirika nchini vinadaiwa na mabenki hadi kwanza wezi walioyasababisha wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria....

 

9 years ago

GPL

40 YA TIFFAH YAACHA MADENI!

0OHOOO! Kuna madai kwamba, ile pati ya kukata na shoka ya kutimiza siku 40 kwa mtoto wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’ iliisha huku nyuma ikiacha madeni ya kiasi cha shilingi 1,005,000, Amani limechimbua.  ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1L5tuVy

 

11 years ago

Habarileo

Madeni ya walimu yageuzwa ‘dili’

Rais Jakaya Kikwete akihutubia jana katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani RAIS Jakaya Kikwete, amesema Serikali imebaini kuwepo kwa mchezo mchafu unaotumiwa na baadhi ya watumishi wasio waaminifu, unaosababisha malimbikizo ya madeni ya wafanyakazi hususani walimu kutomalizika, kwa maslahi yao binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani