JK: Hatulipi madeni ya ushirika
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali yake haitalipa madeni ambayo baadhi ya vyama vya ushirika nchini vinadaiwa na mabenki hadi kwanza wezi walioyasababisha wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Dec
 Madeni yavikabili vyama vya ushirika nchini kwa Kushindwa Kurejesha Mikopo
Vyama vya ushirika nchini vinakabiliwa na madeni kutoka katika benki za kibiashara kutokana na kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati hali ambayo imesababisha vyama hivyo kushindwa kujiendesha ipasavyo.
Kaimu Rais wa vyama vya ushirika na mtendaji mkuu wa tume ya maendeleo ya ushirika Tanzania Audasi Lutabazigwa amesema mjini Dododma kuwa wamefanya mazungumzo na benki za kibiashara ili kivinusuru vyama hivyo.
Aidha mbali na suala hilo la madeni kaimu rais wa vyama vya ushirika anatoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGeNdHcAAiT08z6Jps8qAS0Bk5l7dQx-KY6AJ6oBzi1G4hsxzvFppLdQmRN97O53DmijdXzh1p272oZc5DLenGp/Tiffah.jpg?width=650)
40 YA TIFFAH YAACHA MADENI!
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Madeni yaikwaza Chaneta Mbeya
11 years ago
Habarileo02 May
Madeni ya walimu yageuzwa ‘dili’
RAIS Jakaya Kikwete, amesema Serikali imebaini kuwepo kwa mchezo mchafu unaotumiwa na baadhi ya watumishi wasio waaminifu, unaosababisha malimbikizo ya madeni ya wafanyakazi hususani walimu kutomalizika, kwa maslahi yao binafsi.
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Tazara kinara madeni NSSF
NA JOSEPH MALEMBEKA, MOROGORO WAKATI Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara), ikikabiliwa na ukata na kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi wake, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Taifa (NSSF), umesema...
10 years ago
Habarileo13 Nov
Madeni ya ATCL yabakia bil. 40/-
MIZANIA ya Madeni ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imepungua kutoka Sh bilioni 133 hadi Sh bilioni 40 hivi sasa, hatua inayotoa matumaini kwa shirika hilo kuingia kwenye ushindani karibuni.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wakwepa madeni ya nje kukiona
WAFANYABIASHARA waliokopeshwa fedha kupitia Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS) na kukwepa kulipa, sasa ‘wanapumulia mashine’ baada ya serikali kuwabana kulipa madeni yao ndani ya miezi sita kuanzia jana.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10