Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni
Bondia Francis Miyeyusho amesema kuahirishwa mara kwa mara kwa pambano lake na Viktor Chernous wa Ukrane kumemuingiza katika deni na kocha wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Magufuli azidi kuandamwa
Waziri John Magufuli
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.
CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Kificho azidi kuandamwa
JUMUIYA ya wastaafu wa taasisi za serikali na wakulima wamemtaka Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Pandu Ameir Kificho, kujiuzulu wadhifa wake kwa kile walichodai kuandaa waraka unaopendekeza kuwepo...
9 years ago
CHADEMA BlogEdward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali
10 years ago
MichuziMREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM
Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Innocent Melleck akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi hao waliojitokeza kumchangi fedha kwa ajili ya kugombea Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Miyeyusho ‘ayeyushwa’
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Miyeyusho ayayushwa
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Miyeyusho amsikilizia Mmarekani
BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Miyeyusho amyeyusha Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...