Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni

Bondia Francis Miyeyusho amesema kuahirishwa mara kwa mara kwa pambano lake na Viktor Chernous wa Ukrane kumemuingiza katika deni na kocha wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Magufuli azidi kuandamwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.

Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho azidi kuandamwa

JUMUIYA ya wastaafu wa taasisi za serikali na wakulima wamemtaka Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Pandu Ameir Kificho, kujiuzulu wadhifa wake kwa kile walichodai kuandaa waraka unaopendekeza kuwepo...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali

Aliyekua mgombea Urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA Mh.Edward Lowassa amelalamikia baadhi ya watendaji wa serikali kwa kuwaandama na kuwatisha wananchi na wafanyabiashara waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani na amezitaka idara zinazohusika kuchukua hatua ili kuepusha matatizo yasiyo ya lazima.Akizungumza katika ibada maalum ya kukaribisha mwaka mpya

 

10 years ago

Michuzi

MREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM


Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Innocent Melleck akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi hao waliojitokeza kumchangi fedha kwa ajili ya kugombea Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho ‘ayeyushwa’

>Serikali imelifuta rasmi pambano la ngumi la ubingwa wa dunia kati ya Francis Miyeyusho na Victor Chernous kutoka Ukraine.

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho ayayushwa

Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald  Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amsikilizia Mmarekani

BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho kumvaa Mfilipino

Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amyeyusha Mkenya

BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani