Kificho azidi kuandamwa
JUMUIYA ya wastaafu wa taasisi za serikali na wakulima wamemtaka Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Pandu Ameir Kificho, kujiuzulu wadhifa wake kwa kile walichodai kuandaa waraka unaopendekeza kuwepo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Magufuli azidi kuandamwa
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.
CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-i7PdXL25xqQ/VohiT2BIquI/AAAAAAAAXnk/ulMfRG79iB8/s72-c/1.jpg)
Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali
10 years ago
MichuziMREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM
Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...
10 years ago
Habarileo23 Jan
Kificho na miswada
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wananchi kujitokeza kutoa maoni yao kuchangia katika miswada mbalimbali inayotarajiwa kuwasilishwa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kificho ashambuliwa
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho, kwa kuliendesha kisiasa. Mashambulizi hayo waliyatoa jana mara baada ya kuahirishwa kwa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wajumbe wamshambulia Kificho
BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...
11 years ago
IPPmedia16 Mar
Kificho: No regret for what happened under me
IPPmedia
The then Interim Chairman of the Constituent Assembly Mr Pandu Ameir Kificho has light words for all that happened under his authority, saying, “I do not regret anything!” Speaking with The Guardian on Sunday in an exclusive interview, just few hours after ...
11 years ago
Tier Union20 Mar
Kificho: We didn't support 3
Daily News
Daily News
THE Constitution Review Commission (CRC) proposed a three-tier government but this is not the panacea to the problems that afflict the current union of Tanganyika and Zanzibar. Speaking on Wednesday, Constituent Assembly (CA) member Pandu Ameir ...