Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kificho azidi kuandamwa

JUMUIYA ya wastaafu wa taasisi za serikali na wakulima wamemtaka Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Pandu Ameir Kificho, kujiuzulu wadhifa wake kwa kile walichodai kuandaa waraka unaopendekeza kuwepo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Magufuli azidi kuandamwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.

Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni

Bondia Francis Miyeyusho amesema kuahirishwa mara kwa mara kwa pambano lake na Viktor Chernous wa Ukrane kumemuingiza katika deni na kocha wake.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali

Aliyekua mgombea Urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA Mh.Edward Lowassa amelalamikia baadhi ya watendaji wa serikali kwa kuwaandama na kuwatisha wananchi na wafanyabiashara waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani na amezitaka idara zinazohusika kuchukua hatua ili kuepusha matatizo yasiyo ya lazima.Akizungumza katika ibada maalum ya kukaribisha mwaka mpya

 

10 years ago

Michuzi

MREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM


Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Innocent Melleck akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi hao waliojitokeza kumchangi fedha kwa ajili ya kugombea Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...

 

10 years ago

Habarileo

Kificho na miswada

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wananchi kujitokeza kutoa maoni yao kuchangia katika miswada mbalimbali inayotarajiwa kuwasilishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho ashambuliwa

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho,  kwa kuliendesha kisiasa.  Mashambulizi hayo waliyatoa jana mara baada ya kuahirishwa  kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe wamshambulia Kificho

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...

 

11 years ago

IPPmedia

Kificho: No regret for what happened under me


Kificho: No regret for what happened under me
IPPmedia
The then Interim Chairman of the Constituent Assembly Mr Pandu Ameir Kificho has light words for all that happened under his authority, saying, “I do not regret anything!” Speaking with The Guardian on Sunday in an exclusive interview, just few hours after ...

 

11 years ago

Tier Union

Kificho: We didn't support 3


Daily News
Kificho: We didn't support 3-tier Union
Daily News
THE Constitution Review Commission (CRC) proposed a three-tier government but this is not the panacea to the problems that afflict the current union of Tanganyika and Zanzibar. Speaking on Wednesday, Constituent Assembly (CA) member Pandu Ameir ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani