Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe wamshambulia Kificho

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kificho achukizwa wajumbe kuchelewa

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wajumbe kuchelewa kuingia kwenye vikao.

 

11 years ago

Habarileo

Kificho apongezwa kujali wajumbe walemavu

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye ni mlemavu, Amon Mpanju amemshukuru Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho pamoja na uongozi wake kwa kuwajali wajumbe walemavu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuzi zazidi kutatiza wajumbe Bunge la Katiba, Kificho aipa Kamati jukumu la ‘kuleta maridhiano’ [VIDEO]

Mheshimiwa Kificho amejikuta katika wakati mgumu, akijaribu kuendesha Bunge lilotawaliwa na makundi  yenye mitazamo tofauti.

 

10 years ago

Michuzi

MHE. SPIKA PANDU AMEIR KIFICHO AONGOZA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KUTEMBELEA BUNGE LA ULAYA, BRUSSELS

Mhe. Spika Pandu Ameir Kificho (wanne kutoka kulia) akiongoza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wanaotembelea Bunge la Ulaya. Wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi wanaoshiriki ziara hiyo ya mafunzo ni Mhe. Shamsi Vuai Nahodha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mhe.abdalla Juma Abdalla, Mhe. Hamad Masoud Hamad na Mhe. Zahra Ali Hamad. Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala P ameungana na Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kushiriki ziara hiyo ya siku tatu. Bunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM wamshambulia Lowassa

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), imemvaa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, ikimtuhumu kuwa anafadhili mikakati ya kupingana na juhudi za sekretarieti ya chama hicho. UVCCM imesema imeunga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wamshambulia kamanda Nigeria

Wanajeshi nchini Nigeria, wamemfyatulia risasi kamanda wao mkuu katika mji wa Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshambulia mdhamini CHADEMA

MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Muslim Hassanali, amedai kushambuliwa na Katibu Kata wa Kisutu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Sauda Addey, baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa Kenya wamshambulia Fatou Bensouda

Wanasiasa waliotajwa na kiongozi wa mashtaka wa Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Fatou Bensouda kuhusu kesi ya Rais Uhuru Kenyatta, wamejitokeza na mmoja wao amesema upande wa mashtaka ulimtaka atoe ushahidi wa uongo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani