Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM wamshambulia Lowassa

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), imemvaa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, ikimtuhumu kuwa anafadhili mikakati ya kupingana na juhudi za sekretarieti ya chama hicho. UVCCM imesema imeunga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

UVCCM yamwonya Lowassa

UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM), umemrushia kombora aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania na kumtaka aache kugawa chama hicho.

 

10 years ago

Vijimambo

UVCCM NYAMAGANA WAMUWEKA LOWASSA NJIA PANDA.

Hussein. A. Kimu Mw/kiti UVCCM(W) Nyamagana Mwanza.Wanahabari
YAH.TAMKO LA KUPONGEZA KAULI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA NDUGU STANSLAUS MAGESA MULONGO.
Ndugu wanahabari na watanzania wote. Kwanza nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuitikia wito na kukubari kuja kuungana nasi kwa lengo la kuwajuza watanzania kwa kile kinachoendelea katika mkoa wetu Wa mwanza kwa faida na manufaa ya watanzania wote.
Siku ya 6/7/2015, mkuu wetu wa mkoa Wa mwanza alitoa maelekezo kwa makamanda wa polisi kuzuia watu...

 

9 years ago

Daily News

UVCCM hit at Lowassa on terror suspects, 'Babu Seya'


IPPmedia
UVCCM hit at Lowassa on terror suspects, 'Babu Seya'
Daily News
THE CCM youth wing, UVCCM, has criticised the Union presidential candidate on the Coalition of Four Opposition Parties, Ukawa, Mr Edward Lowassa, over his utterances in regard to re-examining terror suspects' case as well as two convicted rapists.
.....as Dr Magufuli partially loses speech in MbeyaIPPmedia
Tanzania's opposition vows to review mining, gas contractsGbooza
Presidential Campaigns Kick Off in...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe wamshambulia Kificho

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wamshambulia kamanda Nigeria

Wanajeshi nchini Nigeria, wamemfyatulia risasi kamanda wao mkuu katika mji wa Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshambulia mdhamini CHADEMA

MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Muslim Hassanali, amedai kushambuliwa na Katibu Kata wa Kisutu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Sauda Addey, baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa Kenya wamshambulia Fatou Bensouda

Wanasiasa waliotajwa na kiongozi wa mashtaka wa Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Fatou Bensouda kuhusu kesi ya Rais Uhuru Kenyatta, wamejitokeza na mmoja wao amesema upande wa mashtaka ulimtaka atoe ushahidi wa uongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazee wamshambulia kijana mkaidi China

Kijana mmoja ameshambuliwa na wazee alipokaidi kumwachia kiti mmoja wao ndani ya basi nchini China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani