UVCCM wamshambulia Lowassa
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), imemvaa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, ikimtuhumu kuwa anafadhili mikakati ya kupingana na juhudi za sekretarieti ya chama hicho. UVCCM imesema imeunga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jan
UVCCM yamwonya Lowassa
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM), umemrushia kombora aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania na kumtaka aache kugawa chama hicho.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hJmGueGBHN4/VZ0Yp5M2VGI/AAAAAAABP3Y/3f-xIyfRAtc/s72-c/CCM%2BVijana%2BMwanza4.jpg)
UVCCM NYAMAGANA WAMUWEKA LOWASSA NJIA PANDA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hJmGueGBHN4/VZ0Yp5M2VGI/AAAAAAABP3Y/3f-xIyfRAtc/s640/CCM%2BVijana%2BMwanza4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-knBk7q8emjs/VZ0YwZjPa0I/AAAAAAABP34/_VhZcEV0ZU4/s640/CCM%2BVijana%2BMwanza3.jpg)
YAH.TAMKO LA KUPONGEZA KAULI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA NDUGU STANSLAUS MAGESA MULONGO.
Ndugu wanahabari na watanzania wote. Kwanza nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuitikia wito na kukubari kuja kuungana nasi kwa lengo la kuwajuza watanzania kwa kile kinachoendelea katika mkoa wetu Wa mwanza kwa faida na manufaa ya watanzania wote.
Siku ya 6/7/2015, mkuu wetu wa mkoa Wa mwanza alitoa maelekezo kwa makamanda wa polisi kuzuia watu...
9 years ago
Daily News31 Aug
UVCCM hit at Lowassa on terror suspects, 'Babu Seya'
IPPmedia
Daily News
THE CCM youth wing, UVCCM, has criticised the Union presidential candidate on the Coalition of Four Opposition Parties, Ukawa, Mr Edward Lowassa, over his utterances in regard to re-examining terror suspects' case as well as two convicted rapists.
.....as Dr Magufuli partially loses speech in MbeyaIPPmedia
Tanzania's opposition vows to review mining, gas contractsGbooza
Presidential Campaigns Kick Off in...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wajumbe wamshambulia Kificho
BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Wanajeshi wamshambulia kamanda Nigeria
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
CCM wamshambulia mdhamini CHADEMA
MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Muslim Hassanali, amedai kushambuliwa na Katibu Kata wa Kisutu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Sauda Addey, baada ya...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanasiasa Kenya wamshambulia Fatou Bensouda
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Wazee wamshambulia kijana mkaidi China