Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa Kenya wamshambulia Fatou Bensouda

Wanasiasa waliotajwa na kiongozi wa mashtaka wa Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Fatou Bensouda kuhusu kesi ya Rais Uhuru Kenyatta, wamejitokeza na mmoja wao amesema upande wa mashtaka ulimtaka atoe ushahidi wa uongo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Too late for Fatou Bensouda to salvage ICC’s reputation

Of all the things former Kenyan Attorney-General Amos Wako used to utter, this for me stands out: “I am ready, give the evidence and I will prosecute. If the evidence is sufficient, solid enough to sustain a prosecution, I will go ahead.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya haitatii matakwa ya Bensouda

Mwanasheria mkuu wa Kenya Profesa Githu Muigai ameiambia ICC kuwa Fatou Bensouda hana haki ya kuagiza kutolewa kwa nyaraka za Benki za Rais Kenyatta

 

10 years ago

TheCitizen

Bensouda wants Kenya ICC case cited at States Parties Assembly

ICC Prosecutor Fatou Bensouda has asked the court to allow her to appeal the decision against Kenya not being declared non-cooperative even as victims of post-election violence urged her to go for smaller fish.

 

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe wamshambulia Kificho

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM wamshambulia Lowassa

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), imemvaa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, ikimtuhumu kuwa anafadhili mikakati ya kupingana na juhudi za sekretarieti ya chama hicho. UVCCM imesema imeunga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshambulia mdhamini CHADEMA

MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Muslim Hassanali, amedai kushambuliwa na Katibu Kata wa Kisutu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Sauda Addey, baada ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wamshambulia kamanda Nigeria

Wanajeshi nchini Nigeria, wamemfyatulia risasi kamanda wao mkuu katika mji wa Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazee wamshambulia kijana mkaidi China

Kijana mmoja ameshambuliwa na wazee alipokaidi kumwachia kiti mmoja wao ndani ya basi nchini China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani