Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya haitatii matakwa ya Bensouda

Mwanasheria mkuu wa Kenya Profesa Githu Muigai ameiambia ICC kuwa Fatou Bensouda hana haki ya kuagiza kutolewa kwa nyaraka za Benki za Rais Kenyatta

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa Kenya wamshambulia Fatou Bensouda

Wanasiasa waliotajwa na kiongozi wa mashtaka wa Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa (ICC), Fatou Bensouda kuhusu kesi ya Rais Uhuru Kenyatta, wamejitokeza na mmoja wao amesema upande wa mashtaka ulimtaka atoe ushahidi wa uongo.

 

10 years ago

TheCitizen

Bensouda wants Kenya ICC case cited at States Parties Assembly

ICC Prosecutor Fatou Bensouda has asked the court to allow her to appeal the decision against Kenya not being declared non-cooperative even as victims of post-election violence urged her to go for smaller fish.

 

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunatarajia matakwa ya wananchi yazingatiwe

>Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Bunge la Katiba limezinduliwa na limeanza kazi zake huko Dodoma. Wajumbe kutoka Zanzibar na Tanzania Bara watakutana kwa muda wa miezi mitatu katika uhai wa Bunge hilo wakijadili rasimu ya pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yakataa matakwa ya waasi

Rais wa Sudan Kusini asema wafungwa wa kisiasa wanaozuliwa hawataachiliwa huru na kuwa yuko tayari kumsamehe Riek Machar

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

5 years ago

Michuzi

WAWEKEZAJI WANAPASWA KUTIMIZA MATAKWA YA SHERIA YA UHIFADHI WA MAZINGIRA-WAZIRI ZUNGU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (mwenye kofia) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Uzalishaji Hinduka Kamalamo wa kiwanda cha cha kutengeneza mifuko mbadala aina ya ‘non woven’ cha Jin Yuan Investment kilichopo Nyakato wilayani Ilemela mkoani Mwanza wakati wa ziara yake ya kikazi.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwa kwenye Hoteli ya Malaika jijini Mwanza alipofanya ziara ya kusikiliza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bensouda:Sikabiliwi na shinikizo zozote

Kiongozi wa mashitaka ICC, Fatou Bensouda amekanusha madai kuwa anakabiliwa na shinikizo za kisiasa kufutilia mbali kesi dhidi ya Uhuru na Ruto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani