Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunatarajia matakwa ya wananchi yazingatiwe

>Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Bunge la Katiba limezinduliwa na limeanza kazi zake huko Dodoma. Wajumbe kutoka Zanzibar na Tanzania Bara watakutana kwa muda wa miezi mitatu katika uhai wa Bunge hilo wakijadili rasimu ya pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wanataka masilahi yao yazingatiwe

Hivi karibuni Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (Mviwata), Mkoa wa Manyara kwa kutambua nafasi yao wakiwa wazalishaji wakuu wa mazao ya chakula na biashara, walikutana mjini Babati na kutoa vipaumbele wanavyoitaka vitekelezewe na wagombea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya haitatii matakwa ya Bensouda

Mwanasheria mkuu wa Kenya Profesa Githu Muigai ameiambia ICC kuwa Fatou Bensouda hana haki ya kuagiza kutolewa kwa nyaraka za Benki za Rais Kenyatta

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yakataa matakwa ya waasi

Rais wa Sudan Kusini asema wafungwa wa kisiasa wanaozuliwa hawataachiliwa huru na kuwa yuko tayari kumsamehe Riek Machar

 

11 years ago

Mwananchi

Tunatarajia TFF itatuletea kocha bora

Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali., pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na uumoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunatarajia matunda M4C Pamoja Daima

JANUARI 22, mwaka huu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiliamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo, lengo likiwa kujiimarisha kichama na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunatarajia kuona mwafaka wa hoja bungeni

Watanzania tumeweka historia ya kupiga kura za aina mbili kwa wakati mmoja, kura ya siri na kura ya wazi. Hii inaonyesha ugumu wa kufanya uamuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatarajia makubwa Ligi Kuu msimu wa 2014/15

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 tayari imeanza juzi huku timu 14 zikiwania kubeba taji linaloshikiliwa na Azam ambayo ilitwaa taji hilo msimu wa 2013/14.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani