Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunatarajia kuona mwafaka wa hoja bungeni

Watanzania tumeweka historia ya kupiga kura za aina mbili kwa wakati mmoja, kura ya siri na kura ya wazi. Hii inaonyesha ugumu wa kufanya uamuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkirudi bungeni, jengeni hoja zilizokwenda shule

Bunge Maalumu la Katiba limepumzika kwa muda wa angalau miezi mitatu, nasi Watanzania wafuatiliaji wa Bunge hilo tumepumzika na matusi, angalau masikio yetu yatapumua kidogo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amelitikisa Bunge jana baada ya kuwasilisha hoja sawa na zile zinazosimamiwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Mwananchi

Kafulila kupeleka hoja binafsi ya IPTL bungeni

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila amesema kama Bunge lijalo halitatoa ripoti ya fedha zilizolipwa kwa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow atapeleka hoja binafsi bungeni ya kutokuwa na imani na Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia

Bunge la Jamhuri ya Muungano leo limejadili kitendo cha uvunjifu wa amani uliotokea kwenye maandamano ya CUF yaliyoongozwa na Profesa Ibrahimu Lipumba.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni

Nakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi, mwalimu wa Kiswahili alikuwa akipendwa sana na wanafunzi na siri kubwa ilikuwa aina yake ya ufundishaji wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya bungeni, Pinda atoa hoja kutuliza hali ya hewa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alifanikiwa kutuliza hali ya hewa bungeni baada ya kutoa mapendekezo yaliyoungwa mkono na pande zote zilizokuwa zinavutana kuhusu kupitisha baadhi ya vifungu vya Kanuni za Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Michuzi

busara, amani na nguzu za hoja zatawala semina ya kujadili rasimu ya kanuni bungeni dodoma leo

 Mjumbe Mhe Betty Machangu akiuliza swali wakati wa mjadala wa rasimu ya kanuni zitazotumika katika Bunge Maalum la katiba leo mjini Dodoma. Hadi sasa busara imetawala katika mjadala ambao umeendelea kwa utulivu  Mjumbe Mhe. Hezekiah Wenje akihoji jambo wakati wa mjadala huo  Mjumbe Mhe Beatrice Shelukindo akichangia mjadala huo  Mjumbe wa Kamati ya kanuni Mhe Tundu Lissu akitoa ufafanuzi na kujibu hoja za wajumbe Mjumbe Mhe. Hamad Rashid akichangia mjadala. Picha na Deusdedit Moshi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunatarajia matakwa ya wananchi yazingatiwe

>Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Bunge la Katiba limezinduliwa na limeanza kazi zake huko Dodoma. Wajumbe kutoka Zanzibar na Tanzania Bara watakutana kwa muda wa miezi mitatu katika uhai wa Bunge hilo wakijadili rasimu ya pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunatarajia matunda M4C Pamoja Daima

JANUARI 22, mwaka huu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiliamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo, lengo likiwa kujiimarisha kichama na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani