Tunatarajia matunda M4C Pamoja Daima
JANUARI 22, mwaka huu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiliamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo, lengo likiwa kujiimarisha kichama na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZdSTphxK9-uyNpAH-IhtIeZNDgFBB*8Yn9QRcspFRubf3AbLU0koFHl-E2yOsfl1*EUSlpRSXYLzF2LlojKuSQS/4HalimaMtibwa.jpg?width=650)
TASWIRA MBALIMBALI ZA OPERESHENI M4C PAMOJA DAIMA
Halima Mdee: Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Mtibwa, katika mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika jana.
Mbowe na Afande Sele: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akimtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele, wakati wa mkutano wa…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-FlokeaQv3-aSGhF-iECvOQ4D1YWGdpwu4ZbmHankfZVxvLYaVtUUMObzxL8f0dfSHAusr1f-qVbchm639*2Y44z0r/12.jpg?width=650)
M4C OPERESHENI PAMOJA DAIMA NDANI YA IRINGA
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Manispaa ya Iringa, katika mkutano wa hadhara wa Operesehni M4C Pamoja Daima, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa jana. Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa mjini Iringa…...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qf3ll2aVTORkK15Vsx5Cs3wnTT63phtf6mFgpaY12Nur0F-K5kZTKk*5DVXZ9meIY5*vfBom8X2SREsoCrsdfa-/8chadema.jpg?width=350)
OPARESHENI M4C PAMOJA DAIMA KUANZA LEO
KAMA ambavyo jana umma wa Watanzania ulitaarifiwa kupitia kwenye mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na wanahabari, Chama leo kinaanza operesheni ya takriban wiki mbili kwa nchi nzima (mijini na vijijini). Kuna jumla ya timu 6 zilizoko uwanja wa mapambano kuendesha M4C- Operesheni Pamoja Daima, ambazo zote zinaanza kazi leo katika maeneo zilizopangiwa. Timu tatu zitakuwa zikishambulia kutokea angani na timu tatu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3qdrjYt9sJ*ka-VNpwMJ5USghyU50yINL1A2RFfNrBcjONk0Vl0KBxo4Jl2jaUrMHwfdUWQzjhq6CpMVm-IE9y/1.jpg?width=650)
M4C OPERESHENI PAMOJA DAIMA: DK SLAA, MSIGWA WASHAMBULIA RUVUMA
Katibu Mkuu wa Chadema, Willbroad Slaa akiwasha moto Songea mkoani Ruvuma. Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa akiongea na wakazi wa Songea mkoani Ruvuma. KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Willbroad Slaa pamoja na Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa wakitumia usafiri wa anga jana walianza kuwasha moto mkoani Ruvuma katika M4C- Operesheni Pamoja… ...
11 years ago
Michuzi03 Feb
Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha
![](https://2.bp.blogspot.com/-UgXJcsGVZ1Q/Uu-5Cpc7jKI/AAAAAAACoOo/LKT-bkV7Oro/s1600/Mbowe+kuhutubia+Kibaha.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnyOd2laooo/Uu-5CPTSPdI/AAAAAAACoOg/bII30qq6ma0/s1600/Kukabidhi+kadi+2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UmTytg8h6JfcMpCk9gA3q6zTG50hXs2wQ*x9mIZ6g0Fi-wamQ0oiKovEXtMU63yGuCAz45DVEsB6**Vp6C53zrhaVCkubpbb/4.jpg)
TASWIRA ZA OPERESHENI PAMOJA DAIMA KILELEMA
Makamanda wakiwa ndani ya ndege kuelekea katika Operesheni Pamoja Daima, Kilelema. Chombo kikiwa angani. Makamanda wakisalimiana na mwenyeji…
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Operesheni Pamoja Daima: Itamtimua huyu bundi Chadema?
>Mwaka 2013 ulimalizika vibaya kwa Chadema. Vivyo hivyo mwaka huu ulianza vibaya baada ya kuingiliwa na ‘bundi’ wa migogoro aliyepania kukipasua katika makundi mawili.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Tunatarajia matakwa ya wananchi yazingatiwe
>Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Bunge la Katiba limezinduliwa na limeanza kazi zake huko Dodoma. Wajumbe kutoka Zanzibar na Tanzania Bara watakutana kwa muda wa miezi mitatu katika uhai wa Bunge hilo wakijadili rasimu ya pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Tunatarajia kuona mwafaka wa hoja bungeni
Watanzania tumeweka historia ya kupiga kura za aina mbili kwa wakati mmoja, kura ya siri na kura ya wazi. Hii inaonyesha ugumu wa kufanya uamuzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania