MHE. SPIKA PANDU AMEIR KIFICHO AONGOZA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KUTEMBELEA BUNGE LA ULAYA, BRUSSELS
![](http://4.bp.blogspot.com/-NgkH9mVpusc/VUh89HtWMbI/AAAAAAAHVcI/AaAlXlxDemA/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mhe. Spika Pandu Ameir Kificho (wanne kutoka kulia) akiongoza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wanaotembelea Bunge la Ulaya. Wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi wanaoshiriki ziara hiyo ya mafunzo ni Mhe. Shamsi Vuai Nahodha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mhe.abdalla Juma Abdalla, Mhe. Hamad Masoud Hamad na Mhe. Zahra Ali Hamad. Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala P ameungana na Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kushiriki ziara hiyo ya siku tatu. Bunge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.
Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...
11 years ago
IPPmedia05 Apr
Pandu Ameir Kificho
IPPmedia
IPPmedia
The opposition camp yesterday scored some marks in the Constituent Assembly after the Assembly accepted to dissolve its steering committee. In a hushed announcement, Deputy CA Chairperson Samia Suluhu Hassan said that Chairperson Samuel Sitta ...
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
VijimamboSPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wajumbe Baraza la Wawakilishi washikana mashati
UKUMBI wa Baraza la Wawakilishi jana uligeuka uwanja wa ‘vita’ baada ua kuzuka vurugu na wajumbe kushikana mashati.
11 years ago
Mwananchi03 Mar
‘Pandu Kificho ametusaliti’
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JtnaTbR_GgA/VXLiKon8sBI/AAAAAAAHces/5dGy0OZ_8vs/s72-c/515.jpg)
Balozi Seif Iddi afungua Semina ya usafiri wa Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JtnaTbR_GgA/VXLiKon8sBI/AAAAAAAHces/5dGy0OZ_8vs/s640/515.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AWY215wFb5M/VXLiK9jznnI/AAAAAAAHcew/hoZg7fdMnK0/s640/517.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M1VMNUlBLIg/VXLiMzbm6KI/AAAAAAAHcfE/V8DccMy0PkM/s640/530.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HyHuwDYZwAU/VXLiNkF-jnI/AAAAAAAHcfY/N1vPmAfnCq4/s640/532.jpg)