Balozi Seif Iddi afungua Semina ya usafiri wa Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JtnaTbR_GgA/VXLiKon8sBI/AAAAAAAHces/5dGy0OZ_8vs/s72-c/515.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifungua Semina ya siku moja ya Usafiri Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi iliyofanyika kwenye ukumbi wa juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni.
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Mh. Juma Duni Haji akitoa maelezo kwenye Semina ya Usafiri wa Barabarani kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kabla ya ufunguzi wa Senmina hiyo.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na wadau wa usafiri walioshioriki semina ya usafiri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YO8opPe7W1s/VVkEKOCWh4I/AAAAAAAHXzA/TJeToGsuxrY/s72-c/784.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi afunga Semina ya Siku Nne ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na watendaji Wakuu wa Serikali
![](http://1.bp.blogspot.com/-YO8opPe7W1s/VVkEKOCWh4I/AAAAAAAHXzA/TJeToGsuxrY/s640/784.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9wTNCmEno5Q/VVkEMbU0PaI/AAAAAAAHXzQ/8tTeds3JUlo/s640/794.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AFYmA9ULVIQ/VMvu8LbFMWI/AAAAAAACWjU/ETpQxUJqO6I/s72-c/balozi2.jpg)
BALOZI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFYmA9ULVIQ/VMvu8LbFMWI/AAAAAAACWjU/ETpQxUJqO6I/s640/balozi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pgv-C4vSRe8/VMvuznE0uCI/AAAAAAACWjM/hDweJUVl2DQ/s640/balozi.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF IDDI AFUNGUA RASMI SKULI YA SECONDARY YA FARAJA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA TATHMINI YA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Dewji Blog28 May
Tekelezeni mawazo na maagizo ya baraza la wawakilishi kikamilifu- Balozi seif
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi wa mwanzo kulia Mh. Saleh Nassor Juma akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohamed Aboud Mohamed wakijipatia mlo kwenye dhifa maalum iliyoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini.
Na Othman Khami Ame, Visiwani
WATENDAJI wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wana...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mazezXANswQ/UzQ-U1aNjOI/AAAAAAAFWz8/n-0uSEeOMdc/s72-c/unnamed+(49).jpg)
balozi seif ali Iddi aasa wajumbe wa bunge la katiba
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga
Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu na Afya la Usafricom kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR