Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kificho achukizwa wajumbe kuchelewa

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wajumbe kuchelewa kuingia kwenye vikao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wahofu Bunge kuchelewa kumaliza kazi

Baadhi wa wajumbe wa Bunge la Katiba wamesema hakuna dhamira ya dhati ya kupatikana Katiba mpya ndani ya viongozi wa CCM kutokana na Bunge hilo hadi jana, kutumia siku 36 bila kuanza kujadili Rasimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe wamshambulia Kificho

BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kumshambulia Mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho, kwa madai kuwa bado hawezi kutawala kiti kutokana na kutoruhusu wabunge kutoa hoja zao...

 

11 years ago

Habarileo

Kificho apongezwa kujali wajumbe walemavu

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye ni mlemavu, Amon Mpanju amemshukuru Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho pamoja na uongozi wake kwa kuwajali wajumbe walemavu.

 

10 years ago

Michuzi

MHE. SPIKA PANDU AMEIR KIFICHO AONGOZA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KUTEMBELEA BUNGE LA ULAYA, BRUSSELS

Mhe. Spika Pandu Ameir Kificho (wanne kutoka kulia) akiongoza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wanaotembelea Bunge la Ulaya. Wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi wanaoshiriki ziara hiyo ya mafunzo ni Mhe. Shamsi Vuai Nahodha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mhe.abdalla Juma Abdalla, Mhe. Hamad Masoud Hamad na Mhe. Zahra Ali Hamad. Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala P ameungana na Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kushiriki ziara hiyo ya siku tatu. Bunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuzi zazidi kutatiza wajumbe Bunge la Katiba, Kificho aipa Kamati jukumu la ‘kuleta maridhiano’ [VIDEO]

Mheshimiwa Kificho amejikuta katika wakati mgumu, akijaribu kuendesha Bunge lilotawaliwa na makundi  yenye mitazamo tofauti.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho achukizwa matokeo ya droo

Meneja Chelsea , Jose Mourinho ameelezea mchezo kati ya timu yake na Norwich kama "kupoteza muda" baada ya matokeo ya 0-0.

 

10 years ago

GPL

AUNTY ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO

Msanii wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Na Laurent Samatta/Uwazi WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo. Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine. Mkongwe wa filamu za...

 

9 years ago

Michuzi

MREMA ACHUKIZWA NA RAFU ZA MBATIA KATIKA JIMBO LA VUNJO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema amesema kuwa kushindwa kwake ubunge kulitokana na michezo mchafu uliochezwa na mshindi wa ubunge wa jimbo hilo, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, James Mbatia
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa  mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi  wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani