Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho achukizwa matokeo ya droo

Meneja Chelsea , Jose Mourinho ameelezea mchezo kati ya timu yake na Norwich kama "kupoteza muda" baada ya matokeo ya 0-0.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo…

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England, Chelsea wameendelea kuwa na bahati mbaya baada ya kuendelea kupata matokea mabaya mfululizo. Kilichonifikia leo ni kuhusu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kufutwa kazi baada ya kuendelea na matokeo mabaya mfululizo…uamuazi huo unaufanya uongozi wa klabu hiyo kumlipa kiasi cha pauni milioni 40 kama sehemu ya mkataba wake. […]

The post Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo… appeared first on...

 

10 years ago

GPL

STARTIMES YAMKABIDHI MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA PIKIPIKI KTK DROO YA PILI‏

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza ya kujishindia pikipiki ya mwezi wa Aprili, Bw Kafuku Mdaki, mkazi wa Tanga, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Kificho achukizwa wajumbe kuchelewa

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wajumbe kuchelewa kuingia kwenye vikao.

 

10 years ago

GPL

AUNTY ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO

Msanii wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Na Laurent Samatta/Uwazi WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo. Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine. Mkongwe wa filamu za...

 

9 years ago

Michuzi

MREMA ACHUKIZWA NA RAFU ZA MBATIA KATIKA JIMBO LA VUNJO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema amesema kuwa kushindwa kwake ubunge kulitokana na michezo mchafu uliochezwa na mshindi wa ubunge wa jimbo hilo, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, James Mbatia
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa  mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi  wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Achukizwa na Mabishano ya Kidini Yaliyozuka Baada ya Posti Yake!!!

Mwigizaji wa filamu Aunt Ezekiel ambae kwasasa ni mjamzito, amechukizwa na kitendo cha baadhi ya watu ambao ni followers wake kwenye mtandao wa Instagram kumshambulia na kuzua malumbano ya maswala ya Dini, hii ilitokea hapo jana (Jumapili) mara baada ya mwigizaji  huyo kubandika picha (hiyo hapo juu) mtandaoni na kuandika maneno haya “When Jesus say YES no body can say No …..Happy me”

Kitendo hiki kiliwafanya baadhi ya watu wenye imani tofauti na ukristu kuibuka na kuanza kumshambulia kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown achukizwa na comment ya Marques Houston kwenye picha ya Karruache

Chris Brown anatamani Karrueche Tran aishi bila mwanaume mwingine katika maisha yake yote! Muimbaji huyo alitupia comment kwenye picha ya ex wake huyo kwenye Instagram baada ya msanii mwenzake, Marques Houston kusifia umbo la mrembo huyo. Tran aliweka picha hiyo akiwa na bikini tu pembeni ya bwawa la kuogelea ambayo ilimdatisha Houston aliyeigiza kwenye kipindi […]

 

9 years ago

Michuzi

MKURUGENI MKAAZI WA BANK YA DUNIA ACHUKIZWA NA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

Na Sixmund J. Begashe Watanzania wamehusiwa kuwapenda watu wenye ulemavu wa ngozi kama albino, na kuachana kabisa na imani putofu kuwa viongo vya watu hao vinaweza kuwapatia bahati katika maisha yao, kama wanavyo fanya sasa baadi ya watu waovu hapa nchini.  Wito huu umetolewa na Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa nchini Mh Bella Bird alipotembelea Makumbusho ya Taifa kujionea onesho maalum la picha zinazoelezea namna watu wenye ulemavu wangozi wanavyo nyanyasika kwa kuishi maisha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani