Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chris Brown achukizwa na comment ya Marques Houston kwenye picha ya Karruache

Chris Brown anatamani Karrueche Tran aishi bila mwanaume mwingine katika maisha yake yote! Muimbaji huyo alitupia comment kwenye picha ya ex wake huyo kwenye Instagram baada ya msanii mwenzake, Marques Houston kusifia umbo la mrembo huyo. Tran aliweka picha hiyo akiwa na bikini tu pembeni ya bwawa la kuogelea ambayo ilimdatisha Houston aliyeigiza kwenye kipindi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Chris Brown azidi kuonesha mapenzi kwa mwanaye ‘Royalty’ kwenye cover ya album mpya aliyoipa jina la mtoto huyo

Chris Brown ameendelea kuudhihirishia ulimwengu mapenzi ya dhati aliyonayo kwa mwanaye wa kike Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Baada ya kuamua album yake mpya kuipa jina la mwanaye huyo ‘Royalty’, sasa staa huyo wa R&B ametoa cover ya album hiyo yenye picha ya yeye akiwa amembeba mtoto wake anayeonekana amesinzia. Toka Breezy afahamu kuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Model aliyecheza video ya Big Sean na Chris Brown kuonekana kwenye video ya Mayunga

12292729_1514452005519363_325519831_n

Mayunga yupo nchini Marekani alikoenda kufanya wimbo na Akon. Wimbo huo ni sehemu ya mambo anayotakiwa kufanya baada ya kushinda shindano la Airtel Trace Music Star.

12277656_1665325393744095_1161270589_n

Tayari wawili hao wamesharekodi wimbo huo na kinachofuata sasa ni video ya muziki.

Alhamis hii Mayunga alieleza kupitia Instagram kuwa model atakayetumika kwenye video hiyo aliwahi kutumika kwenye video ya wimbo wa Big Sean na Chris Brown.

“Anaitwa @itsssvia unaweza kumtazama katika video ya big sean ft chris brown alionekana...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay ameonekana kwa mara nyingine akila bata na aliyekuwa mpenzi wa staa wa R&B Chris Brown, Karrueche Tran jijini Manchester. Tetesi za wawili hao kuwa pamoja zilianza baada ya kuanza kuonekana pamoja miezi michache iliyopita nchini Marekani. Wawili hao walionekana tena usiku wa Jumapili wakiwa pamoja wakitoka kwenye club moja […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja

Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]

 

9 years ago

MillardAyo

Chris Brown kwenye tuhuma nyingine za kumpiga mwanamke…

Staa wa R&B wa Marekani Chris Brown amekuwa haishiwi headlines..baada ya matukio mfululizo yakimuhusisha na Polisi, headlines zimerudi tena kwake. Ukiachia lile tukio la kumpiga mwanamuziki mwenzake Rihanna mwaka 2009 na kutakiwa kutojihusisha na kosa lolote kwa miaka mitano hili ni tukio lingine lilolomrudisha kwenye mikono ya polisi huko Las Vegas. Jana jumamosi akiwa katika […]

The post Chris Brown kwenye tuhuma nyingine za kumpiga mwanamke… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: CHRIS BROWN APITA RED CARPET YA BILLBOARD MUSIC AWARDS NA MWANAE ROYALTY


Chris Brown aliamua kwenda na mwanae Royalty kwenye tuzo za Billboard Music Awards zilizofanyika Jumapili hii.Staa huyo alizunguka na kupiga picha kwenye red carpet na mtoto huyo mwenye umri wa miezi 11 sasa.Baba yake Royalty alikuwa ametajwa kuwania vipengele vitatu kwenye tuzo hizo



 

10 years ago

GPL

MAYWEATHER AFANYA BALAA KWENYE ‘BETHDEI’ YA CHRIS BROWN

Floyd Mayweather akiwa kwenye bethidei ya Chris Brown.
NEW YORK, Marekani
NI jeuri ya mkwanja! Ndivyo bondia Floyd Mayweather alivyoanza makeke ya kutumia mkwanja wake baada ya hivi karibuni kufanya balaa la maana kwenye siku ya kuzaliwa ya mwimbaji, Chris Brown. Chris Brown akifungua 'shampeni'. Hili ni tukio la kwanza kufanywa na bondia huyo baada ya kutoka kumshushia kichapo mpinzani wake, Manny Pacquiao, Jumapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani