Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAYWEATHER AFANYA BALAA KWENYE ‘BETHDEI’ YA CHRIS BROWN

Floyd Mayweather akiwa kwenye bethidei ya Chris Brown.
NEW YORK, Marekani
NI jeuri ya mkwanja! Ndivyo bondia Floyd Mayweather alivyoanza makeke ya kutumia mkwanja wake baada ya hivi karibuni kufanya balaa la maana kwenye siku ya kuzaliwa ya mwimbaji, Chris Brown. Chris Brown akifungua 'shampeni'. Hili ni tukio la kwanza kufanywa na bondia huyo baada ya kutoka kumshushia kichapo mpinzani wake, Manny Pacquiao, Jumapili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Chris Brown kwenye tuhuma nyingine za kumpiga mwanamke…

Staa wa R&B wa Marekani Chris Brown amekuwa haishiwi headlines..baada ya matukio mfululizo yakimuhusisha na Polisi, headlines zimerudi tena kwake. Ukiachia lile tukio la kumpiga mwanamuziki mwenzake Rihanna mwaka 2009 na kutakiwa kutojihusisha na kosa lolote kwa miaka mitano hili ni tukio lingine lilolomrudisha kwenye mikono ya polisi huko Las Vegas. Jana jumamosi akiwa katika […]

The post Chris Brown kwenye tuhuma nyingine za kumpiga mwanamke… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown achukizwa na comment ya Marques Houston kwenye picha ya Karruache

Chris Brown anatamani Karrueche Tran aishi bila mwanaume mwingine katika maisha yake yote! Muimbaji huyo alitupia comment kwenye picha ya ex wake huyo kwenye Instagram baada ya msanii mwenzake, Marques Houston kusifia umbo la mrembo huyo. Tran aliweka picha hiyo akiwa na bikini tu pembeni ya bwawa la kuogelea ambayo ilimdatisha Houston aliyeigiza kwenye kipindi […]

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive Audio: Diamond akirap kwenye beat ya ‘Show Me’ (Kid Ink f/ Chris Brown)

Kabla ya kutoka na ‘Kamwambie’ na kisha kufuata na hits nyingi mfululizo, Diamond alikuwa rapper. Na katika kuthibitisha kuwa bado anaweza kuchana, hitmaker huyo ameitumia beat ya wimbo ‘Show Me’ wa Kid Ink f/ Chris Brown kwenye kipindi cha The Hitlist cha Choice FM na kuwaacha watangazaji wa show hiyo mdomo wazi. Msikilize mwenyewe hapo […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown ampindua Adele kwenye nafasi ya kwanza iTunes baada ya kuachia ‘Royalty’

breezy royalty new

Album mpya ya Chris Brown, ‘Royalty’ imeingia sokoni kwa kishindo.

breezy royalty new

Masaa machache toka iachiwe Ijumaa (Dec 18) imefanikiwa kuiondoa ‘25’ ya Adele na kushika namba moja kwenye chati ya album zilizouza kwa haraka kwenye mtandao wa iTunes. ‘25’ ya Adele sasa imeshuka hadi nafasi ya pili kwenye chati hiyo.

‘Royalty’ ni album ya saba kutoka kwa Breezy, iliyofatia baada ya ‘X’ aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.

ROYALTY TRACKLISTING
1. “Back to Sleep”
2. “Fine By Me”
3. “Wrist” feat. Solo Lucci
4....

 

11 years ago

Bongo5

Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014

Siku chache zilizopita Chris Brown na Drake walimaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu, na kushare picha wakiwa studio pamoja. Ishara nyingine ya kuzika kabisa beef yao imeonekana jana (July 16) kwenye tukio la tuzo za michezo ‘2014 ESPY Award’ zilizofanyika The Nokia Theatre, Los Angeles, Marekani ambapo Drake na Chris Brown wameigiza kipande kidogo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ya nne kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown, ‘Picture Me Rollin’ imenifikia, itazame hapa!- (Video)

Baada ya kuachia video ya ‘Anyway’ jana December 17 2015,  Chris Brown amerudi na nyingine mpya ikiwa ni muendelezo wa pale ilipoishia kwenye video ya awali. Wimbo unaitwa ‘Picture Me Rollin’ na miondoko ya wimbo huu unafanana na ile ya Dr. Dre kwenye ngoma yake ya mwaka 1993 ‘Let Me Ride’… Video mpya ya Chris […]

The post Ya nne kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown, ‘Picture Me Rollin’ imenifikia, itazame hapa!- (Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani