Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe wahofu Bunge kuchelewa kumaliza kazi

Baadhi wa wajumbe wa Bunge la Katiba wamesema hakuna dhamira ya dhati ya kupatikana Katiba mpya ndani ya viongozi wa CCM kutokana na Bunge hilo hadi jana, kutumia siku 36 bila kuanza kujadili Rasimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAZI KWENU WAJUMBE BUNGE LA KATIBA

KAMA ilivyo kawaida ya kila siku, ni budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutubariki tena leo, tukikutana tukiwa na uwezo wa kutambua kwamba, bila yeye aliye juu, tusingeweza kuwa pamoja. Wema wa Mungu umetufanya tuendelee kushikamana kama taifa na tunaishi kama moja ya mifano bora kabisa ya amani katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Hii ni tunu ambayo yatupasa kuitunza na moja ya njia za kutufanya tuifanikishe, ni kuishi katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kificho achukizwa wajumbe kuchelewa

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wajumbe kuchelewa kuingia kwenye vikao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

11 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.  Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe Said Mtanda na wenzake  jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.   Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo...

 

10 years ago

Michuzi

Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba

OFISI ya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka Urambo

SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani