Magufuli azidi kuandamwa
Waziri John Magufuli
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.
CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Kificho azidi kuandamwa
JUMUIYA ya wastaafu wa taasisi za serikali na wakulima wamemtaka Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Pandu Ameir Kificho, kujiuzulu wadhifa wake kwa kile walichodai kuandaa waraka unaopendekeza kuwepo...
9 years ago
Habarileo29 Oct
Magufuli azidi kupeta urais
YAKIWA yamebaki majimbo ya 69 kabla ya kutangazwa kwa matokeo yote ya urais, Watanzania wanaonekana kumpa kazi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli (pichani) kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo baada ya kura nyingi kuelekezwa kwake.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Jimbo-la-ulyanhulu.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUCHANGA MBUGA MKOANI TABORA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YOUXnkGcOW8/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Magufuli azidi kuibomoa CHADEMA Kilimanjaro, awatolea uvivu watendaji TANESCO
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr2OF03wZ0/VhVgajlqopI/AAAAAAADAfY/ia6t2aPSyRU/s640/_MG_4268.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AtjfBuIkpDE/VhVgd7jOQLI/AAAAAAADAfo/RWAZtirQGcw/s640/_MG_4282.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli na mgombea ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu
Davis Mosha wakimsikiliza Bw. Lema aliyekuwa Katibu wa Chadema
wilaya ya Hai wakati alipojiunga na...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Dkt. Magufuli azidi kuchanja mbuga mikutano ya kampeni mkoani Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jana jioni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
![_MG_6285](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/MG_6285.jpg)
10 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI MIKOA YA KAGERA, MARA NA MWANZA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tpJpzeqtCCnK26pDmyjVKktukkfKKOiolIV-Ran3h0DuXWGqmsYiEi2Pu0aCkee9UQhSvYo9tOjpfkXK9C98G6HKQ3LNLyzB/magufuli2.jpg?width=650)
DKT. MAGUFULI AZIDI KUNOGESHA KAMPENI ZA CCM ZA URAIS MKOANI RUVUMA
10 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA KILIMANJARO NA DAR ES SALAAM