Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli azidi kupeta urais

YAKIWA yamebaki majimbo ya 69 kabla ya kutangazwa kwa matokeo yote ya urais, Watanzania wanaonekana kumpa kazi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli (pichani) kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo baada ya kura nyingi kuelekezwa kwake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DKT. MAGUFULI AZIDI KUNOGESHA KAMPENI ZA CCM ZA URAIS MKOANI RUVUMA‏

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipanda kwenye tingatinga ishara ya kuonesha uchapakazi wake serikalini.
....Akiliwasha tingatinga.  Magufuli akiendesha tingatinga linalofanya kazi kwenye barabara inayojengwa kutoka…

 

10 years ago

Vijimambo

DK JOHN MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KUWANIA URAIS MIKOA YA KAGERA,MARA NA MWANZA

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Musoma.Zoezi la udhamini katika wilaya ya Magu likiendelea huku Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli akifatilia kwa makini.Zoezi la udhamini katika wilaya ya Musoma mkoani Mara likiendelea.Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS 2015: DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWA

DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWAon August 26, 2015
 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya AGOSTI 26,2015   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AENDELEA 'KUPETA' PWANI

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Joseph Magufuli akiwahutubia wakazi wa Jimbo la Mchinga katika kijiji cha Nangaru. Magufuli akimpa tano mgombea ubunge wa jimbo la Mkuranga, Abdalaha Ulega alimuangusha Adam Malima kwenye kura za maoni. Magufuli akimwaga sera kwa wakazi wa Mkuranga.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais

  *awahimiza wananchi kujiandikisha kwa wingi daftari la wapiga kura

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.

Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Magufuli azidi kuandamwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam.

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kwa kuisababishia hasara Serikali baada ya kushindwa kesi ya uvuvi haramu wa samaki katika Ukanda wa kiuchumi wa Bahari ya Hindi bila kibali.

Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kubwagwa katika kesi hiyo maarufu kama kesi ya ‘samaki wa Magufuli’ iliyofungulia mwaka 2012 wakati Dk. Magufuli akiwa...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AZIDI KUCHANGA MBUGA MKOANI TABORA

  Magufuli akiwa katika Jimbo la Ulyanhulu. Magufuli akiomba kura kwenye Jimbo la Kaliua. Magufuli akiomba kura Jimbo la Urambo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani