Miyeyusho kumvaa Mfilipino
Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Miyeyusho ayayushwa
Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Miyeyusho ‘ayeyushwa’
>Serikali imelifuta rasmi pambano la ngumi la ubingwa wa dunia kati ya Francis Miyeyusho na Victor Chernous kutoka Ukraine.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Cheka kumvaa Mrussia leo
>Bingwa wa dunia wa WBF, Francis ‘SMG’ Cheka amesema atahakikisha anamaliza raundi zote kwenye pambano lake la leo dhidi ya Fedor Chudino wa Russia.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Makonda akanusha kumvaa Warioba
Katibu wa Hamasa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), Paul Makonda jana alibanwa na aliyekuwa mshehereshaji wa mdahalo wa Katiba, Said Kubenea akimtuhumu kuhusika na vurugu zilizotokea katika mdahalo huo na kusababisha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kushambuliwa.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze
Vyama vinne vimejitokeza kusimamisha wagombea wao ili wapambane na Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete ambaye tayari amepitishwa na chama hicho tawala kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
Bondia wa Tanzania Karama Nyilawila mwakani ,anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia mmalawi Frank Mwamaso
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Francis Miyeyusho ‘Chichimawe’
Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo iliyovuna idadi kubwa ya mashabiki ambao mara nyingi wamekuwa wakifurika katika kumbi mbalimbali nchini kushuhudia mabondia wanavyotupiana makonde klwa umahiri wa hali ya juu.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Miyeyusho kuzipiga na Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Miyeyusho ampiga Mkenya KO
>Bondia, Francis ‘Chichi mawe’ Miyeyusho juzi usiku aliibuka kinara baada ya kumgaragaza Joshua Amukulu wa Kenya kwa Knock Out (KO) raundi ya pili ya pambano la raundi nane la uzani wa light.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania