Cheka kumvaa Mrussia leo
>Bingwa wa dunia wa WBF, Francis ‘SMG’ Cheka amesema atahakikisha anamaliza raundi zote kwenye pambano lake la leo dhidi ya Fedor Chudino wa Russia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Pambano la Cheka, Mrussia hatihati
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imekiwekea ngumu Chama cha Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST) kutoa kibali cha pambano la bondia Francis ‘SMG’ Cheka na Valery Brudov wa Russia kwa kile ilichoeleza hadi iombwe radhi kwa maandishi na promota wa pambano hilo, Jay Msangi.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Francis Cheka kumvaa Ajetovic Februari 27
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapanda ulingoni Februari 27 kuzichapa na Geard Ajetovic mwenye asili ya Serbia anayeishi England katika pambano la kuwania ubingwa wa mabara wa WBF.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s72-c/unnamed+(13).jpg)
JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE
![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwCG2HLmkx6QhMkif4SH*QFuWd1LRCCej-vcJxd4HUK6USZFjjnoHhoAoZUOdTwl-1B7m8bNaIIINIi5JrQsjQ8/Kaziinadawa.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
VijimamboBONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA LEO MAY 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
Bondia wa Tanzania Karama Nyilawila mwakani ,anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia mmalawi Frank Mwamaso
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Makonda akanusha kumvaa Warioba
Katibu wa Hamasa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), Paul Makonda jana alibanwa na aliyekuwa mshehereshaji wa mdahalo wa Katiba, Said Kubenea akimtuhumu kuhusika na vurugu zilizotokea katika mdahalo huo na kusababisha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kushambuliwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania