Francis Cheka kumvaa Ajetovic Februari 27
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapanda ulingoni Februari 27 kuzichapa na Geard Ajetovic mwenye asili ya Serbia anayeishi England katika pambano la kuwania ubingwa wa mabara wa WBF.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen05 Jan
Cheka-Ajetovic bout support plea
Local private firms and government institutions have been been requested to demonstrate their commitment to sports development by supporting professional boxing.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Cheka kumvaa Mrussia leo
>Bingwa wa dunia wa WBF, Francis ‘SMG’ Cheka amesema atahakikisha anamaliza raundi zote kwenye pambano lake la leo dhidi ya Fedor Chudino wa Russia.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Francis Cheka mtoro shuleni
Licha ya kuamua kurudi shule, mwalimu anayesimamia programu ya bondia Francis ‘SMG’ Cheka, James Mkisi amesema bondia huyo aliingia darasani siku moja tu tangu aliposajiliwa kama mwanafunzi mpya wa Chuo cha St Joseph cha mjini Morogoro Septemba mwaka jana.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Francis cheka kumkabili Singwancha
Bondia wa Tanzania Fransic Cheka anatarajia kupanda ulingoni na bondia Kiatchai Singwancha kutoka Thailand
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyiOZtnbV-8blFLxHgxg0kMatjPu6-LViDVLqFP5hQmw4qga2ttTZAJmXNNr8*HXCSYw-L*oxmsZUdwHHTkMR3G7/breakingnews.gif)
FRANCIS CHEKA JELA MIAKA MITATU
BONDIA Francis Cheka (pichani) leo amehukumiwa miaka mitatu kwenda jela kwa kosa la kumpiga meneja wake wa baa mkoani Morogoro mwaka jana. Cheka amehukumiwa katika Mahakama ya…
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Francis Cheka : miaka mitatu jela
Bondia wa kulipwa nchini Tanzania, Francis Cheka, ambaye ni maarufu kwa jina la SMG, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela .
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Promota Don King kumshuhudia Francis Cheka Dar
Promota maarufu wa ngumi za kulipwa duniani Donald ‘Don’ King maarufu zaidi kama Don King anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye pambano la Francis ‘SMG’ Cheka na Valery Brudov wa Russia.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tf7mG9MBqjk/VQg5M5X6KvI/AAAAAAAHLAc/C9MIWW7ut5I/s72-c/11111.jpg)
BONDIA FRANCIS CHEKA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Mororogoro leo imetengua adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela kwa Bondia maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka na badala yake atatumikia kifungo cha nje na kulipa fidia ya Shilingi milioni moja.
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania