BONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA LEO MAY 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA
Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa leo May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba
Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa leo jumamosi ya May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba
Mabondia Selemani Zugo naq Twaha Kiduku wakitunishiana misuli
BONDIA JOSEPH SINKALA AKITUNISHIANA UBAVU NA IBRAHIMU...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA KESHO MEI 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA
10 years ago
Vijimambo06 May
BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GP5jnSKTJH2qOihGIbkTOgmvvJ09LQr8OODIg_KYl6vq0f-pJBb0GnIVHuio4EIIID-Sbby7X56lX5gTO3C1xp6cN0Jp5FtTfknQslCcyUEDRgMYIRW5FNC-2WNQCK3dae8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/11/Bondia-Francis-Cheka.jpg)
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...
9 years ago
MichuziMABONDIA THOMAS MASHALI NA FRANSIC CHEKA WASAINI KUZIDUNDA DESEMBA 25 JAMUHURI MOROGORO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Cheka agoma kuzipiga na Mrusi
9 years ago
Michuzicheka kuzipiga uingereza Sept 19
Bondia nyota nchini wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalum lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle.
Pambano hilo limepangwa kufanyika mjini Manchester Septemba 19 na maandalizi yake yamekwisha kamilika.Meneja mpya wa bondai huyo, Juma Ndambile alisema kuwa Cheka ataondoka hapa nchini Septemba 15 kwenda Uingereza kwa ajili ya pambano hilo la raundi 10.
Ndambile ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...
11 years ago
Michuzi19 Apr
MABONDIA WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WA LEO UKUMBI WA PTA SABASABA, DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboBONDIA ZUMBA KUKWE KUZIPIGA NA SWEET KALULU KIBAHA
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini mwenye machachali mengi na ngumi nzito awapo ulingoni Zumba Kukwe “chenji dola” anatarajia kupanda ulingoni alhamis ya tarehe 27/11/2014 kuzipiga na bondia mkongwe Sweet kalulu katika ukumbi wa kontena uliopo kibaha maili moja, Watacheza pambano la raundi nane, lisilo la ubingwa ila mshindi kati ya sweet kalulu na zumba kukwe atacheza na mshindi kati ya Thomas Mashali na dula mbabe katika pambano la ubingwa, mashali na dula wao...
10 years ago
Michuzi14 Nov
BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUARI MOSSI,JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MADA MAUGO NA KALAMA NYILAWILA WASAIDI KUZIPIGA MARCH 8 P.T.A SABASABA