Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADA MAUGO NA KALAMA NYILAWILA WASAIDI KUZIPIGA MARCH 8 P.T.A SABASABA

Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika March 8 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini Antoni Rutta katikati akiwainua mikono juu mabondia Mada Maugo na Kalama Nyilawila wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika march 8 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADA MAUGO AMDUNDA THOMAS MASHALI

BONDIA Mada Maugo amemshushia kichapo bondia Thomas Mashali katika mpambano wao kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikabiliana na Mada Maugo kwenye Tamasha la Matumaini 2014.…

 

11 years ago

Michuzi

MADA MAUGO ALIPA KISASI CHA KUPIGWA NA THOMASI MASHALI

Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akionyeshana umwamba wa kutupiana makonde na Mada Maugo wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana.Maugo alishinda kwa point mpambano huo.Bondia Thomas Mashali (kulia) akimrushia konde la mkono wa kushoto bondia Mada Maugo wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.Maugo alishinda kwa point mpambano huo.Mabondia Mada Maugo (kushoto) na Thomas Mashali wakipambana ulingoni.Bondia Said Memba (kushoto)...

 

11 years ago

GPL

KALAMA NYILAWILA KUMVAA IBRAHIMU MAOKOLA DESEMBA 31 MSASANI KLABU

Kalama Nyilawila akijifua tayari kwa kumkabili Ibrahimu Maokola Desemba 31 mwaka huu katika Ukumbi wa Msasani Klabu, jijini Dar. Msimamizi wa mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza-Makaburini, Dar Bernald Lumbila (kushoto) akimwelekeza bondia Kalama Nyilawila jinsi…

 

10 years ago

Michuzi

Bondia Zumba Kukwe ataka kuzichapa na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila

Mabondia Sweet Kalulu wa Dar es Salaam kushoto na Zumba Kukwe kulia na katikati ni mwandaaji wa pambano hilo George Nyasalu akishuhudia mabondia hao baada ya kupima uzito na afya jana.
Na John Gagarini, Kibaha
BONDIA Zumba Kukwe wa Maili Moja wilayani Kibaha Mkoani Pwani ambaye leo anapambana na bondia Sweet Kalulu amesema kuwa lengo lake kubwa ni kupambana na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kibaha wakati wakipima uzito na kupima afya kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI

Bondia Kalama Nyilawila katikati akitia saini ya kucheza pambano siku ya mei mosi atacheza na Thomasi Mashali au Japhert Kaseba inategemea na mshindi wa mechi hiyo ya March 29 itakayofanyika PTA Sabasaba kulia ni Alli Mwazoa na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi' 
Promota wa ngumi nchini Ali Mwazoa akipeana mkono na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi baada ya kumsainisha bondia Kalama Nyilawila katikati anaetarajia kuzipiga Mei Mosi.
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA LEO MAY 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA

Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa leo May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa leo jumamosi ya May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba Mabondia Selemani Zugo naq Twaha Kiduku wakitunishiana misuliBONDIA JOSEPH SINKALA AKITUNISHIANA UBAVU NA IBRAHIMU...

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA KESHO MEI 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA

Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Mei 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba .PICHA NA SUPER D BOXING NEWSMabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi ya May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba .HABARI ZAIDI INGIA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

chama cha wataanzania waishio ufaransa wasaidi kufanya usafi ubalozini katika kuadhimisha NYERERE DAY

 Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi wa zamani jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za kuadhimisha Mwalimu Nyerere Day  Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za Mwalimu Nyerere Day  Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani