MADA MAUGO AMDUNDA THOMAS MASHALI
![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xhg2Pr8tjKPPfooNGHpwloE0g*MclUo1a2ub4*t1i*A86mmbuKHBhaNk4**HJPzQS1i*8D5SW-5WXyfmM9rysi/MAUGONAMASHALI.jpg?width=650)
BONDIA Mada Maugo amemshushia kichapo bondia Thomas Mashali katika mpambano wao kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikabiliana na Mada Maugo kwenye Tamasha la Matumaini 2014.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Aug
MADA MAUGO ALIPA KISASI CHA KUPIGWA NA THOMASI MASHALI
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Mashali sasa amdunda Cheka
Bingwa wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka juzi alikula vibaya sikukuu ya Krismasi baada ya kutwangwa kwa pointi na mpinzani wake, Thomas Mashali katika pambano lisilo la ubingwa la raundi 10 uzani wa kg 67 lililofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
11 years ago
TheCitizen10 Aug
Maugo silences Mashali in Dar
Veteran boxer Mada Maugo walked into the ring on Friday at the National Stadium as the underdog in his rematch with Thomas Mashali. He walked out the winner.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOrOCfb9Gy4/VicVRWNCS2I/AAAAAAAIBbw/1byKcVlwFM8/s72-c/032-1.jpg)
MASHALI AMDUNDA BIGRIGHT NA KUMPORA SIMU NA PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOrOCfb9Gy4/VicVRWNCS2I/AAAAAAAIBbw/1byKcVlwFM8/s320/032-1.jpg)
11 years ago
TheCitizen15 Jul
Big fight: Mashali and Maugo renew rivalry
Tanzania’s boxing sensations Thomas Mashali and Maga Maugo will go glove-to-glove vying for the Night of Hope Festival middleweight title at the National Stadium on August 8.
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MADA MAUGO NA KALAMA NYILAWILA WASAIDI KUZIPIGA MARCH 8 P.T.A SABASABA
11 years ago
GPL03 Aug
MASHALI, MAUGO WATAMBIANA KUELEKEA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8, 2014
“Mabondia Thomas Mashali na Mada Maugo kila mtu anajua upinzani wao ulivyo, kila mmoja anataka kuthibitisha kuwa yeye ni bora. Mada Maugo na Thomas Mashali, kila mmoja amejitapa kumchakaza mwenzake katika pambano hilo .
“Lakini kabla ya hapo kutakuwa na mapambano ya utangulizi ambapo staa wa Bendi ya Mapacha Watatu, Khalid Chokoraa atapigana na Said Memba, Mbunge wa Nzega, Dokta Hamisi Kigwangala akichapana na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoYQvQdPPqMJ2Hk-EXrcBIcLfelzB0l2M5os19*jFQZ09Yc2SYotlaABMkUhHlTt4gLBaVAX0OBugxuBMs8OFgT/Tamashalamatumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 MASHALI, MAUGO KUMALIZA UBISHI AGOSTI
Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali ‘Simba Asiyefugika’, wakitunishiana misuli. Na Nassor Gallu SIKU zinazidi kukatika huku maandalizi yakipamba moto kuelekea katika tamasha babkubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) linalotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, mwaka huu. Katika tamasha… ...
11 years ago
GPLBONDIA THOMAS MASHALI APATA AJARI
Bondia Thomas Mashali akionesha majeraha aliyoyapata baada ya kupata ajali hivi karibuni. Bondia Thomas Mashali wa tatu kushoto akiwa na baadhi tya ndugu na jamaa akiuguza majeraha ya vidonda baada ya kupatas ajari hivi karibuni.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania