Mashali sasa amdunda Cheka
Bingwa wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka juzi alikula vibaya sikukuu ya Krismasi baada ya kutwangwa kwa pointi na mpinzani wake, Thomas Mashali katika pambano lisilo la ubingwa la raundi 10 uzani wa kg 67 lililofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MADA MAUGO AMDUNDA THOMAS MASHALI
10 years ago
Michuzi
MASHALI AMDUNDA BIGRIGHT NA KUMPORA SIMU NA PESA

10 years ago
Habarileo01 Oct
Mashali, Cheka kuzichapa Krismasi
MABONDIA Thomas Mashali na Francis Cheka watapanda ulingoni Desemba 25, mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro katika pambano lisilo la ubingwa. Pambano hili lisilokuwa na ubingwa litakuwa la raundi 12.
10 years ago
Mtanzania26 Oct
Cheka ajiandaa kumtwanga Mashali
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa Tanzania, Francis Cheka, ameingia mafichoni kujiandaa na pambano lisilo la kuwania ubingwa la raundi 12 dhidi ya Thomas Mashali lililopangwa kufanyika Desemba 25, mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Morogoro.
Akizungumza na gazeti hili jana, Cheka alisema kwa kuwa Mashali ameanza kumtangazia vita hadharani ameamua kuanza maandalizi mapema ili aweze kumpiga katika raundi za mwanzo.
Cheka alisema amepania kuweka historia mpya ...
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Cheka, Mashali to celebrate Xmas in style
10 years ago
MichuziMABONDIA THOMAS MASHALI NA FRANSIC CHEKA WASAINI KUZIDUNDA DESEMBA 25 JAMUHURI MOROGORO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziTHOMAS MASHALI AMSHINDA FRANCIS CHEKA KWA POINTI KWENYE MPAMBANO WAO MJINI MOROGORO
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1
11 years ago
Mwananchi15 May
Cheka sasa kusaka ubingwa wa WBF Juni 6