Mashali, Cheka kuzichapa Krismasi
MABONDIA Thomas Mashali na Francis Cheka watapanda ulingoni Desemba 25, mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro katika pambano lisilo la ubingwa. Pambano hili lisilokuwa na ubingwa litakuwa la raundi 12.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Bondia Zumba Kukwe ataka kuzichapa na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila
![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
BONDIA Zumba Kukwe wa Maili Moja wilayani Kibaha Mkoani Pwani ambaye leo anapambana na bondia Sweet Kalulu amesema kuwa lengo lake kubwa ni kupambana na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kibaha wakati wakipima uzito na kupima afya kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Cheka amwaga wino kuzichapa na Mrusi
BONDIA mahiri wa ngumi za kulipwa Tanzania, Francis Cheka, jana alimwaga wino kupigana na Mrusi, Valey Brudov, mwezi ujao huku akiitupia lawama serikali kwa kutothamini wanamichezo hapa nchini. Cheka, bondia...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Cheka amtwanga Mthailand, kuzichapa na Muiran
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka, juzi aliibuka kidedea kwa kumtwanga Mthailand, Kiatchai Singwancha kwa TKO (Technical Knock Out) raundi ya nane.
Mara baada ya ushindi huo, Cheka atapanda tena ulingoni mwishoni mwa Julai mwaka huu kupambana na Sajjad Mehrabi raia wa Iran.
Katika pambao hilo la raundi 10 (Kg 79) lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba, Cheka alimdhibiti mpinzani wake huyo ambaye aliumia mkono raundi ya nane na kushindwa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Lulu Kayage, Mariam kuzichapa Krismasi
BONDIA Lulu Kayage yupo kwenye maandalizi makali kuelekea pambano lake la Desemba 25 dhidi ya Mariam Abdallah litakalopigwa katika ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner, Magomeni jijini Dar es Salaam....
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Mashali sasa amdunda Cheka
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Cheka ajiandaa kumtwanga Mashali
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa Tanzania, Francis Cheka, ameingia mafichoni kujiandaa na pambano lisilo la kuwania ubingwa la raundi 12 dhidi ya Thomas Mashali lililopangwa kufanyika Desemba 25, mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Morogoro.
Akizungumza na gazeti hili jana, Cheka alisema kwa kuwa Mashali ameanza kumtangazia vita hadharani ameamua kuanza maandalizi mapema ili aweze kumpiga katika raundi za mwanzo.
Cheka alisema amepania kuweka historia mpya ...
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Cheka, Mashali to celebrate Xmas in style
9 years ago
MichuziMABONDIA THOMAS MASHALI NA FRANSIC CHEKA WASAINI KUZIDUNDA DESEMBA 25 JAMUHURI MOROGORO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.