Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bondia Zumba Kukwe ataka kuzichapa na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila

Mabondia Sweet Kalulu wa Dar es Salaam kushoto na Zumba Kukwe kulia na katikati ni mwandaaji wa pambano hilo George Nyasalu akishuhudia mabondia hao baada ya kupima uzito na afya jana.
Na John Gagarini, Kibaha
BONDIA Zumba Kukwe wa Maili Moja wilayani Kibaha Mkoani Pwani ambaye leo anapambana na bondia Sweet Kalulu amesema kuwa lengo lake kubwa ni kupambana na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kibaha wakati wakipima uzito na kupima afya kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BONDIA ZUMBA KUKWE KUZIPIGA NA SWEET KALULU KIBAHA

Sweet kaluluZumba Kukwe
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini mwenye machachali mengi na ngumi nzito awapo ulingoni Zumba Kukwe “chenji dola” anatarajia kupanda ulingoni alhamis ya tarehe 27/11/2014 kuzipiga na bondia mkongwe Sweet kalulu katika ukumbi wa kontena uliopo kibaha maili moja, Watacheza pambano la raundi nane, lisilo la ubingwa ila mshindi kati ya sweet kalulu na zumba kukwe atacheza na mshindi kati ya Thomas Mashali na dula mbabe katika pambano la ubingwa, mashali na dula wao...

 

11 years ago

Michuzi

KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI

Bondia Kalama Nyilawila katikati akitia saini ya kucheza pambano siku ya mei mosi atacheza na Thomasi Mashali au Japhert Kaseba inategemea na mshindi wa mechi hiyo ya March 29 itakayofanyika PTA Sabasaba kulia ni Alli Mwazoa na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi' 
Promota wa ngumi nchini Ali Mwazoa akipeana mkono na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi baada ya kumsainisha bondia Kalama Nyilawila katikati anaetarajia kuzipiga Mei Mosi.
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...

 

11 years ago

GPL

BONDIA THOMAS MASHALI APATA AJARI

Bondia Thomas Mashali akionesha majeraha aliyoyapata baada ya kupata ajali hivi karibuni. Bondia Thomas Mashali wa tatu kushoto akiwa na baadhi tya ndugu na jamaa akiuguza majeraha ya vidonda baada ya kupatas ajari hivi karibuni.…

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUARI MOSSI,JIJINI DAR

Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitia saini ya mkataba wa makubaliano ya kuzipiga na Bondia Abbdallah Pazi (kulia) mbele ya promota Kassim Texas (katikati) mpambano utakaofanyika januari mosi katika ukumbi wa friends corner,Manzese jijini Dar es salaam.Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitunishiana misuli na Abdallah Pazi baada ya makubaliano yao ya kuzipiga katika mpambano wao,utakaofanyika Januari Mosi 2015 katika ukumbi wa Friends Corner,Manzese jijini Dar es salaam.Picha na SUPER D...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUAR MOSI 2015 FRENDS CORNER

Bondia Thomasi Mashali kushoto akitia saini ya kupigana na Abbdallah Pazi kulia baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Bondia Abbdallah Pazi kulia akitia saini ya kupigana na Thomasi Mashalikushoto baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaamBondia Thomasi Mashali kushoto akitunishiana misuli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa

BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...

 

10 years ago

Vijimambo

MADA MAUGO NA KALAMA NYILAWILA WASAIDI KUZIPIGA MARCH 8 P.T.A SABASABA

Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika March 8 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini Antoni Rutta katikati akiwainua mikono juu mabondia Mada Maugo na Kalama Nyilawila wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika march 8 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao...

 

11 years ago

GPL

KALAMA NYILAWILA KUMVAA IBRAHIMU MAOKOLA DESEMBA 31 MSASANI KLABU

Kalama Nyilawila akijifua tayari kwa kumkabili Ibrahimu Maokola Desemba 31 mwaka huu katika Ukumbi wa Msasani Klabu, jijini Dar. Msimamizi wa mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza-Makaburini, Dar Bernald Lumbila (kushoto) akimwelekeza bondia Kalama Nyilawila jinsi…

 

9 years ago

Habarileo

Mashali, Cheka kuzichapa Krismasi

MABONDIA Thomas Mashali na Francis Cheka watapanda ulingoni Desemba 25, mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro katika pambano lisilo la ubingwa. Pambano hili lisilokuwa na ubingwa litakuwa la raundi 12.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani