Cheka sasa kusaka ubingwa wa WBF Juni 6
Pambano la bondia Francis Cheka la kuwania ubingwa wa dunia unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi za Dunia (WBF), sasa litafanyika Juni 6 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 May
Wasanii kusaka historia mpya Tuzo za Kili, Juni 13
NA MWANDISHI WETU
WAKATI washindi wa vipengele mbalimbali katika tuzo za Kili Tanzania Music Awards 2015 (KTMA) wakitarajiwa kujulikana Juni 13 katika hafla ya ugawaji wa tuzo hizo, hakuna msanii atakayevunja rekodi ya Abdul Nassib (Diamond) kwa kuwa hakuna aliyeko katika vipengele saba.
Tuzo hizo zilizoanza mwaka 2000 hadi leo zina rekodi iliyowekwa na Diamond ya kunyakua tuzo saba mwaka jana, mwaka huu amekutana na mchuano mkali baada ya kuingia katika vipengele sita akichuana na Ali Kiba...
11 years ago
MichuziCosmas Cheka kupambana na Suma Ninja Juni 1, 2014 mjini Morogoro
10 years ago
MichuziTABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Mashali sasa amdunda Cheka
10 years ago
Vijimambo02 Mar
BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' ANYAKUWA UBINGWA WA U.B.O AFRICA KWA KUMTWANGA COSMAS CHEKA
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Pluijm: Sasa ni ubingwa tu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tf7mG9MBqjk/VQg5M5X6KvI/AAAAAAAHLAc/C9MIWW7ut5I/s72-c/11111.jpg)
BONDIA FRANCIS CHEKA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...