Wasanii kusaka historia mpya Tuzo za Kili, Juni 13
NA MWANDISHI WETU
WAKATI washindi wa vipengele mbalimbali katika tuzo za Kili Tanzania Music Awards 2015 (KTMA) wakitarajiwa kujulikana Juni 13 katika hafla ya ugawaji wa tuzo hizo, hakuna msanii atakayevunja rekodi ya Abdul Nassib (Diamond) kwa kuwa hakuna aliyeko katika vipengele saba.
Tuzo hizo zilizoanza mwaka 2000 hadi leo zina rekodi iliyowekwa na Diamond ya kunyakua tuzo saba mwaka jana, mwaka huu amekutana na mchuano mkali baada ya kuingia katika vipengele sita akichuana na Ali Kiba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 May
Cheka sasa kusaka ubingwa wa WBF Juni 6
10 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma
10 years ago
Habarileo13 Mar
‘Ifikapo Juni tatizo la maji Dar litakuwa historia’
NAIBU Waziri wa Maji, Amosi Makala ametamba kuwa kufikia Juni mwaka huu tatizo la upatikanaji wa maji kwa mkoa wa Dar es Salaam litakuwa historia.
10 years ago
Dewji Blog24 May
Tuzo za Filamu Tanzania 2015 zafana Dar wasanii kibao wazoa tuzo
![Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala pamoja na viongozi mbalimbali wa meza kuu kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 wakipiga picha na baadhi ya washindi wa Tuzo za Filamu 2015 jana zilizofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_02641.jpg)
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
9 years ago
GPLWASANII WALIVYOFUNIKA KILI MUSIC FESTIVAL
11 years ago
GPL![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/03/Screen-Shot-2014-03-25-at-11.38.42-AM.png?resize=512%2C297&width=600)
WANAOWANIA TUZO ZA KILI 2014