Miyeyusho ayayushwa
Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Miyeyusho ‘ayeyushwa’
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Miyeyusho kuzipiga na Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Miyeyusho amsikilizia Mmarekani
BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Miyeyusho ampiga Mkenya KO
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Miyeyusho amyeyusha Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Francis Miyeyusho ‘Chichimawe’
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Miyeyusho, Cheka washindwa kutamba
MABONDIA wa Tanzania, Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’ na Francis Cheka ‘SMG’, juzi walishindwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mapambano yao ya kimataifa yaliyopigwa Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar...
9 years ago
Bongo515 Dec
Muziki wa makundi ni miyeyusho – Madee
Baada ya bosi wa Tip Top Connection, Babu Tale kuweka wazi msimamo wake wa kutotoa wimbo wa pamoja wa wasanii wa kundi hilo kwa kudai hailipi, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Madee amekubaliana na uamuzi huo.
Madee ameiambia Bongo5 kuwa wao kama wasanii wa kundi hilo wapo tayari kwa maamuzi yoyote yenye tija kwa kundi lao.
“Unajua sisi tupo chini ya uongozi na kiongozi ni Babu Tale na yeye kashaamua hilo, so mimi siwezi kumbishia kwa sababu yeye ndio ameliona hilo liko sawa....