Miyeyusho, Cheka washindwa kutamba
MABONDIA wa Tanzania, Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’ na Francis Cheka ‘SMG’, juzi walishindwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mapambano yao ya kimataifa yaliyopigwa Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Apr
MABONDIA CHEKA, MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA; KING CLASS MAWE AMSAMBARATISHA MUSTAFA DOTO
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Chelsea washindwa kutamba Ulaya
Chelsea walitoka sare tasa mechi yao ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini dhidi ya Dynamo Kiev iliyochezwa Jumanne usiku.
11 years ago
TheCitizen21 Apr
Miyeyusho humiliated as Cheka earns draw
Francis Miyeyusho had a gloomy moment on Saturday night as he suffered a technical knockout (TKO) in the first round at the hands of Thailand’s Sukkassem Kietyongyuth at PTA Hall.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mapambano ya Cheka, Miyeyusho yasogezwa mbele
Pambano la Francis Cheka na Varely Brudov wa Russia limesogezwa mbele hadi Aprili 5 wakati lile la Francis Miyeyusho na Viktor Chernous wa Ukraine sasa litafanyika Machi Mosi kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL
MIYEYUSHO AGONGWA KO NA MTHAILAND, CHEKA HOI
Francis Cheka akitupiana makonde na bondia kutoka Iran, Gavad Zohrehvand. Cheka akimkabili Gavad. Mabondia hao…
11 years ago
Michuzi12 Apr
MABONDIA MIYEYUSHO, CHEKA, KING CLASS MAWE WAPIMA UZITO KUPAMBANA JUMAMOSI APRIL 12 PTA SABASABA
10 years ago
Vijimambo
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
Habarileo03 Sep
Stars yarejea na kutamba
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars, imerejea nchini alfajiri ya jana ikitokea Uturuki huku kocha wake mkuu Charles Mkwasa akisema hawaiogopi Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania