Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapambano ya Cheka, Miyeyusho yasogezwa mbele

Pambano la Francis Cheka na Varely Brudov wa Russia limesogezwa mbele hadi Aprili 5 wakati lile la Francis Miyeyusho na Viktor Chernous wa Ukraine sasa litafanyika Machi Mosi kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Michezo Shimiwi yasogezwa mbele

SHIRIKISHO la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) limesogeza mbele michezo hiyo na sasa itafanyika baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 25.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi yasogezwa mbele

Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya Chid Benz yasogezwa mbele mpaka December 1

Kesi inayomkabili rapper Chid Benz ya kukamatwa na madawa ya kulevya iliyokuwa ikisikilizwa leo (Nov. 11) katika mahakama ya mkazi Kisutu imesogezwa mbele hadi December 1. Upande wa mashitaka ukiongozwa na mawakili wawili Ofmed Mtenga na Leonard Challo mbele ya Hakimu Waliarwanda Lema, umesema upelelezi bado haujakamilika nakutaja tarehe ya kusikilizwa kesi hiyo Desemba mosi. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho, Cheka washindwa kutamba

MABONDIA wa Tanzania, Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’ na Francis Cheka ‘SMG’, juzi walishindwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mapambano yao ya kimataifa yaliyopigwa Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar...

 

11 years ago

GPL

MIYEYUSHO AGONGWA KO NA MTHAILAND, CHEKA HOI

Francis Cheka akitupiana makonde na bondia kutoka Iran, Gavad Zohrehvand. Cheka akimkabili Gavad. Mabondia hao…

 

11 years ago

TheCitizen

Miyeyusho humiliated as Cheka earns draw

Francis Miyeyusho had a gloomy moment on Saturday night as he suffered a technical knockout (TKO) in the first round at the hands of Thailand’s Sukkassem Kietyongyuth at PTA Hall.

 

10 years ago

Bongo5

Mahakama yamtandika Chris Brown nyundo nyingine, probation yasogezwa mbele

Probation ya Chris Brown kwenye kesi yake ya kumpiga Rihanna imesogezwa mbele zaidi baada ya staa huyo kusafiri bila ruhusa kwenda kufanya show na kushindwa kumaliza masaa aliyopewa kufanya kazi za jamii. Mshindi huyo wa tuzo za Grammy, alipanda kizimbani Alhamis hii kwenye mahakama ya Los Angeles nchini Marekani ili kusikiliza ripoti ya maendeleo ya […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Kesi ya kupinga bomoabomoa Kinondoni yasogezwa mbele hadi saa 8 mchana

IMG-20160105-WA0004

Baadhi ya wananchi ambao wamekumbwa na wengine wakiwa bado hawajafikiwa na bomoabomoa hiyo wakiwa wamekaa nje ya mahakama kuu ya ardhi kusubiri hatma yao

Modewjiblog team

Kesi ya kupinga kubomoa nyumba katika mabonde ya Kinondoni ambayo ilikuwa isikilizwe jana jumatatu na kuhairishwa hadi leo jumanne, januari 5 imehairishwa kwa muda kusikilizwa hadi saa nane mchana.

Tayari magari ya Polisi ya washawasha na vikosi vya ulinzi vimetanda nje ya mahakama kuu ya ardhi kwa ajili kuhakikisha...

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA CHEKA, MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA; KING CLASS MAWE AMSAMBARATISHA MUSTAFA DOTO

Bondia Francis  Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Jumamosi jijini Dar es salaam. Mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya kufungana point Bondia Francis  Cheka kushoto akipambana na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani