Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking News: Kesi ya kupinga bomoabomoa Kinondoni yasogezwa mbele hadi saa 8 mchana

IMG-20160105-WA0004

Baadhi ya wananchi ambao wamekumbwa na wengine wakiwa bado hawajafikiwa na bomoabomoa hiyo wakiwa wamekaa nje ya mahakama kuu ya ardhi kusubiri hatma yao

Modewjiblog team

Kesi ya kupinga kubomoa nyumba katika mabonde ya Kinondoni ambayo ilikuwa isikilizwe jana jumatatu na kuhairishwa hadi leo jumanne, januari 5 imehairishwa kwa muda kusikilizwa hadi saa nane mchana.

Tayari magari ya Polisi ya washawasha na vikosi vya ulinzi vimetanda nje ya mahakama kuu ya ardhi kwa ajili kuhakikisha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni lasitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa

DSC_5240

Baadhi ya wakazi wa mabonde ya Kinondoni wakiwa katika maeneo ya Mahakama Kuu ya Ardhi

Modewjiblog team

Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni limesitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa katika mahakama kuu ya ardhi.

Jaji wa mahakama kuu ya ardhi amemtaka wakili wa walalamikaji kuwasilisha mapema orodha ya walalamikaji wote 674 na majina yao kamili,anuani za makazi na nyumba zao na kisha shauli hilo litafikishwa Jumatatu, 11 January kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya...

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya Chid Benz yasogezwa mbele mpaka December 1

Kesi inayomkabili rapper Chid Benz ya kukamatwa na madawa ya kulevya iliyokuwa ikisikilizwa leo (Nov. 11) katika mahakama ya mkazi Kisutu imesogezwa mbele hadi December 1. Upande wa mashitaka ukiongozwa na mawakili wawili Ofmed Mtenga na Leonard Challo mbele ya Hakimu Waliarwanda Lema, umesema upelelezi bado haujakamilika nakutaja tarehe ya kusikilizwa kesi hiyo Desemba mosi. […]

 

10 years ago

Michuzi

HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..

  MAULID BARAKA KITENGE WITH CO HOST  IBRAHIM MASOUD “MAESTRO” NA OMAR KATANGA.WACHAMBUZI  OSCAR OSCAR,  MUSSA KAWAMBWA  NA SUDI  MKUMBA

WATAYARISHAJI : YUSUPH MKULE, FRANCIS MHANDO, DR PANJUAN NA  WENGINEO....


1.    MAULID KITENGE NI NANI?,

Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...

 

9 years ago

Global Publishers

Mbunge wa Kinondoni Atinga Kortini Kupinga Bomoabomoa Jimboni Kwake

mtuliaMbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia. Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia amewasilisha mahakamani shauri la kupinga zoezi la ‘bomoabomoa’ linaloendelea jijini Dar es Salaam. Shauri hilo lenye uwakilishi wa wananchi nane linasikilizwa leo (Januari 4) katika mahakama Kuu kitengo cha Ardhi. BOMOA (11) Kwa mujibu wa Mtulia, Shauri hilo lilifunguliwa mahakamani hapo Desemba 22 na kupata faili rasmi Desemba 28 mwaka jana. Katika shauri hilo, walalamikaji wanaiomba mahakama kuamuru...

 

9 years ago

Global Publishers

Kesi ya bomoabomoa Dar yaahirishwa hadi kesho

1.Baadhi ya wakazi wanaoishi mabondeni wakiwa mahakamani hapo.Baadhi ya wakazi wanaoishi mabondeni wakiwa mahakamani hapo.2.Wakazi wa maeneo ya mabondeni wakiwa tayari kusikiliza shauri la zuio lao la kusitisha bomoabomoa mahakamni hapo.Wakazi wa maeneo ya mabondeni wakiwa tayari kusikiliza shauri la zuio lao la kusitisha bomoabomoa mahakamani hapo.3.Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia (katikati) akiwa na wakili wake kabla kesi kusikilizwa.Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia (katikati) akiwa na wakili wake kabla kesi kusikilizwa.

KESI ya kupinga bomoabomoa iliyofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia (CUF) katika Mahakam Kuu kitengo cha Ardhi jijini Dar es Salaam imesikilizwa leo na kuahirishwa hadi  kesho.

4.Mtulia (kushoto) akijaribu kuzungumza na wananchi waliofika mahakamni hapo.Mtulia (kushoto) akijaribu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili

4

Che Mundugwao enzi za uhai wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri  wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao  alifariki mchana wa leo.

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia  chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea  kutolewa hapo baadae..ENDELEA...

 

9 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU


Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku  Watanzania wote...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi yasogezwa mbele

Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani