Mbunge wa Kinondoni Atinga Kortini Kupinga Bomoabomoa Jimboni Kwake
Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia.
Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia amewasilisha mahakamani shauri la kupinga zoezi la ‘bomoabomoa’ linaloendelea jijini Dar es Salaam.
Shauri hilo lenye uwakilishi wa wananchi nane linasikilizwa leo (Januari 4) katika mahakama Kuu kitengo cha Ardhi.
Kwa mujibu wa Mtulia, Shauri hilo lilifunguliwa mahakamani hapo Desemba 22 na kupata faili rasmi Desemba 28 mwaka jana. Katika shauri hilo, walalamikaji wanaiomba mahakama kuamuru...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mtikila atinga kortini kupinga Mahakama ya Kadhi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mtikila-17March2015.jpg)
Mtikila anapinga kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, kwamba ni kinyume cha Katiba ya nchi.
Kadhalika, Mtikila ameiomba mahakama itoe amri kwamba wale walio kwenye mamlaka ya Serikali akiwamo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda;...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Breaking News: Kesi ya kupinga bomoabomoa Kinondoni yasogezwa mbele hadi saa 8 mchana
Baadhi ya wananchi ambao wamekumbwa na wengine wakiwa bado hawajafikiwa na bomoabomoa hiyo wakiwa wamekaa nje ya mahakama kuu ya ardhi kusubiri hatma yao
Modewjiblog team
Kesi ya kupinga kubomoa nyumba katika mabonde ya Kinondoni ambayo ilikuwa isikilizwe jana jumatatu na kuhairishwa hadi leo jumanne, januari 5 imehairishwa kwa muda kusikilizwa hadi saa nane mchana.
Tayari magari ya Polisi ya washawasha na vikosi vya ulinzi vimetanda nje ya mahakama kuu ya ardhi kwa ajili kuhakikisha...
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Mbunge wa Mkuranga amwaga msaada kwa wajasiriamali jimboni kwake
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, Shabani Mandai,(katikati) akishuhudia vijana wake wakiunganisha cherahani, baada ya kupokea msaada wa cherahani 20 kwa ajili ya wajasiliamali na vifaa vya michezo kwa uongozi wa UVCCM Mkuranga.
Mwakilishi wa Mbunge wa Mkuranga ,Omary Kisigalile (kushoto)akimkabidhi mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mkulanga, Shabani Mandai (kulia) Cherehani 20 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya Vikundi vya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s1600/IMG-20140606-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7cy8AkV2MTE/U5FeYALE7mI/AAAAAAAAEjc/AoEA8hzKIuY/s1600/IMG-20140606-WA0007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-5qX3ly9KE/U5FeYz0ik7I/AAAAAAAAEjk/9UCo2txkR_A/s1600/IMG-20140606-WA0006.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MBUNGE WA SONGEA MJINI, DK EMMANUEL NCHIMBI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBONI KWAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf3zBtYuylU/UuvUAWYGlEI/AAAAAAAFJ9M/uASLv7pnc_Y/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha)
Dec 22, 2015 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay amefanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake kwa kumchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo. Mbunge huyo pia aliweza kuwaruhusu wananchi wake wazungumze kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Hizi ni baadhi ya picha kutoka eneo ambalo mkutano huo ulipofanyika leo […]
The post Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.